Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Salaam Wakuu,
Toka kampeni ya Tone Tone izinduliwe kumekwa na changamoto ya mtandao ambao haieleweki eleweki.
Wakati wameshazindua na wakawa wanaitana mbele kila mmoja kuhamasisha watu wake, commentszilikuwa zinapita chini baadhi wakisema miamala inakataliwa, mara inakaa pending muda mrefu mpaka mtu anakata tamaa, nk.
Mtandao haujakaa vizuri mpaka leo, wakati mwingine unakuwa slow sana au fanyikazi kabisa mpaka uhamie kwenye VPN!
Ni hujuma kwa CHADEMA ndio ili raia wasiweze kuchangia na CHADEMA kufikia malengo yao?
CCM itakuwa imeshikwa pabaya sana kama wameona hii ndio solution iliyobaki kuwazima CHADEMA. Itakuwa wanapumulia mashine!
Aroo mnakwamisha mambo yetu bana, hamuoni kama hii inaathiri pia mapato ya serikali na taasisi nyingine?
Toka kampeni ya Tone Tone izinduliwe kumekwa na changamoto ya mtandao ambao haieleweki eleweki.
Wakati wameshazindua na wakawa wanaitana mbele kila mmoja kuhamasisha watu wake, commentszilikuwa zinapita chini baadhi wakisema miamala inakataliwa, mara inakaa pending muda mrefu mpaka mtu anakata tamaa, nk.
Mtandao haujakaa vizuri mpaka leo, wakati mwingine unakuwa slow sana au fanyikazi kabisa mpaka uhamie kwenye VPN!
Ni hujuma kwa CHADEMA ndio ili raia wasiweze kuchangia na CHADEMA kufikia malengo yao?
CCM itakuwa imeshikwa pabaya sana kama wameona hii ndio solution iliyobaki kuwazima CHADEMA. Itakuwa wanapumulia mashine!
Aroo mnakwamisha mambo yetu bana, hamuoni kama hii inaathiri pia mapato ya serikali na taasisi nyingine?