Mtandao wa airtel ndio unaongoza kwa kutumiwa na matapeli wa mtandaoni

MPIGIE MZEE SAID MTAALAM WA TIBA ASILI. MALI. PETE. NYOTA. UZAZI. KUPANDISHWA CHEO KAZINI. KULUDISHA MALI ILIYOPOTEA. NAMBA 0719914240
 
Kuna mtu leo anasema amekatwa kama elfu nne hivi kwenye Mpesa yake na hajui Kwan kakatwa.

Hapa najaribu kuuliza Salio kwenye Mpesa app naona inagoma kabisa
 
Hatar sana
 

Attachments

  • Screenshot_20240620-172114.png
    41.6 KB · Views: 7
Kama hivyo
 

Attachments

  • Screenshot_20240620-172007.png
    61.4 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240620-171934.png
    55.7 KB · Views: 7
Smile ndiyo mtandao wangu pendwa 😃😃😃😃😃😃
 
Kuna mtu leo anasema amekatwa kama elfu nne hivi kwenye Mpesa yake na hajui Kwan kakatwa.

Hapa najaribu kuuliza Salio kwenye Mpesa app naona inagoma kabisa
Hizo line za voda ambazo watu wanakatwa hela zinaanza code gani

076.....
075.....
074....
 
Unaijua TTCL wewe?
Airtel unawaonea kuwapa cheo hiko

Watu mpaka ndugu zetu kabisa wakituma sms unakuwa huamini amini kisa tu namba ya ttcl
 
 
Ni kweli kabisa.... Leo yenyewe nimekutana nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…