Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure mkuu,wamechezea mtandao haukuwa hiviMkuu kweli,juzi nilinunua GB 1 ilikuwa ni usiku na sikuitumia naamka asubuhi imekata,duh hawa watu sio wazuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumia vodacom, sasa jiongeze kwenye maelezo yangu.ewe unaingiza ngapi kila siku
Niliacha kutumia baada ya kuachana na demu mwenye HalotelUlikuwa ni mtandao mzuri kwa kweli kwa upande wangu,
Bundle la data la sh 10,000 nilikuwa natumia mwezi mmoja lakini kwa sasa hata wiki halikatishi.
Nafkiria kuitupilia mbali kule halotel nihamie mtandao mwingine.
Njoo vodacom ila ujipangehii gb 1 yangu ikiisha sinunui tena internet yao, unakua na data lakini mtandao wa kubembeleza
voda gharama siziwezi mkuu , hua nikitumia huo mtandao nakutana sana na sms za kifurushi kimeisha afu hua sizipendi, TTCL na tigo sijawahi kutumiwa sms za kifurushi kuisha nina kama mwakaNjoo vodacom ila ujipange
[emoji16][emoji16][emoji16]Njoo Vodacom kama umejipanga kiuchumi. Huku hakuna mteremko kama huko halotel. Kama unataka voda, hakikisha kila siku unaingiza hela.
Hata mm natamani ttclMitandao karibu yote siku hizi wamekuwa wezi, Mb zinatafunwa balaa! Nataka nijaribu TTCL nako
Sent using Jamii Forums mobile app