Mtandao wa kuuza na kununua wa jumia je ni salama?

Machi

Senior Member
Joined
Mar 28, 2016
Posts
120
Reaction score
33
Jamani kuna masufuria ninayahitaji ya kkupikia vyakula vya mashughuli zenye uwezo kuanzia kilo 50 hadi mia katika mtandao unaoitwa jumia nimejaribu kuwaandikia ili niwe na uhakika na ninachokifanya wamenijibu chakufanya lip tu ,utatumiwa vitu vyako, je jamani mna nishauri vp ?
Ni uhakika au wanataka kunipiga changa la macho?.!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…