Mtandao wa simu mlichonifanyia kinaumiza sana moyo wangu

Kapepo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
1,066
Reaction score
1,194
Kwekweli leo nilikuwa na mihadi na demu wangu mpya sijawahi kula hata siku moja keshakula vyangu leo ijumaa tumepanga tukatiane namcheki muda huu naambiwa namba nayopiga imezuiliwa kupokea simu kwa sasa nijaribu tena baadaye hii hali inaniumiza mno kwakweli πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯
 
TCRA hawa zuii simu kupigiwa Ila mhusika ndo hawezi kupiga huyo kakufanyia figisu hataki shituka kenge
 
Mtumie hela na ya kutolea atakupigia mwenyewe aje
 
nashukuru kanitafuta na namba nyingine hapa kasema shoo ipo pale pale wacha nikukolezee mkongo kwa sifa zote *****
 
nashukuru kanitafuta na namba nyingine hapa kasema shoo ipo pale pale wacha nikukolezee mkongo kwa sifa zote *****
 
Kama ana nia atakuchek kwenye namba nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikitoa herufi mbili za mwanzo kwenye (Ki) ID yako, herufi zinazo salia ndio hasa zinasadifu ulicho kuandika kwenye thread yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…