Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Achana na hiyo njoo ofisini tusaidine.Ni wiki sasa mfumo wa kukata Leseni za biashara kupitia TAUSI haufanyikazi na hata ule wa TRA haupo sawa. Je kuna tatizo ama ndio tujiandae kukadiliwa kama zamani na kupata leseni za biashara kutoka Halmashauri kuwa za kitabu.
Labda Wanaweka mambo vizuri