Mtandao wa Tigo kinaanza kuisha kifurushi cha leo badala ya cha jana.

Mtandao wa Tigo kinaanza kuisha kifurushi cha leo badala ya cha jana.

Frustration

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,134
Reaction score
4,124
Mm ni mpenzi wa bando la wiki na natumia mtandao wa Tigo.
Mara nyingi huwa sipendi kukatiwa salio na ilikuepukana na hili napenda kujiunga siku 3 au mbili kabla ya kufikia deadline.

Maajabu ninayokuta na nilichelewa kuchunguza ni kuwa kifurushi kipya kinaanza kutumika na kile ambacho ulikuwa unatumia awali kinasimama.

Mara nyingi dakika zikibaki 50 nilikuwa nanunua kipya na kama binadamu mwingine nakuwa napiga ilikumaliza hizo dakika kabla ya siku kufika,kumbe natumia kifurushi kipya.

Hii imenifanya nitake kujua kwa mitandao yote au kwa watu wote au mm tu?
Mwisho nawasalimu sana
 
Mm ni mpenzi wa bando la wiki na natumia mtandao wa Tigo.
Mara nyingi huwa sipendi kukatiwa salio na ilikuepukana na hili napenda kujiunga siku 3 au mbili kabla ya kufikia deadline.

Maajabu ninayokuta na nilichelewa kuchunguza ni kuwa kifurushi kipya kinaanza kutumika na kile ambacho ulikuwa unatumia awali kinasimama.

Mara nyingi dakika zikibaki 50 nilikuwa nanunua kipya na kama binadamu mwingine nakuwa napiga ilikumaliza hizo dakika kabla ya siku kufika,kumbe natumia kifurushi kipya.

Hii imenifanya nitake kujua kwa mitandao yote au kwa watu wote au mm tu?
Mwisho nawasalimu sana
Baba lao Airtel
 
Hii inaitwa wamiliki wa mtandao wa kampuni ya Tigo wanaupiga mwingi au sisi Raia ndiyo tunapigwa na kitu kizito [emoji848]
 
Hii inaitwa wamiliki wa mtandao wa kampuni ya Tigo wanaupiga mwingi au sisi Raia ndiyo tunapigwa na kitu kizito [emoji848]
Mda mrefu sana mamlaka zipo kimya na watumiaji tupo kimya pia na zile kesi ni kama wameshinda juu ya vifurushi na uhuru wa mtumiaji.
 
Mm ni mpenzi wa bando la wiki na natumia mtandao wa Tigo.
Mara nyingi huwa sipendi kukatiwa salio na ilikuepukana na hili napenda kujiunga siku 3 au mbili kabla ya kufikia deadline.

Maajabu ninayokuta na nilichelewa kuchunguza ni kuwa kifurushi kipya kinaanza kutumika na kile ambacho ulikuwa unatumia awali kinasimama.

Mara nyingi dakika zikibaki 50 nilikuwa nanunua kipya na kama binadamu mwingine nakuwa napiga ilikumaliza hizo dakika kabla ya siku kufika,kumbe natumia kifurushi kipya.

Hii imenifanya nitake kujua kwa mitandao yote au kwa watu wote au mm tu?
Mwisho nawasalimu sana
Karibu halotel huku ukiongeza huwa kinakiupdate kifurushi
 
Hivi haiwezekani sie nao tukaanzisha mtandao wetu--hata tuuite Melotel au Jamiitel?
 
Karibu halotel huku ukiongeza huwa kinakiupdate kifurushi
Maeneo niliyopo halotel haina nguvu sana hasa jioni kuanzia saa 12 hadi saa 2 kasoro. Jua linapozama na mtandao unazama pia ola baada ya saa moja mtandao unarudi hope wanatumia sola
 
Hata halotel iliwahi kunitokea, Hadi ilibidi kuongea na customer care
 
Back
Top Bottom