Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Leo mimi mwenyewe ni mwathirika wa wizi wa bundle unaofanywa na tigo. Yaani kudownload nyimbo 3 ambazo jumla hazifiki 20MB na kutumia JF na Whatsapp. Nacheck muda huu nina 34MB katika one GB nliyokuwa nayo asubuhi.
Huu ni uhuni na wizi wa kiwango kikubwa sana. Hakuna kitu ambacho nmefungua kusema kimekuwa kikitumia data katika back ground nikiwa sijui. Huu ni uhuni..na hiyo 34MB haifungui hata page ya google.
Huu ni uhuni na wizi wa kiwango kikubwa sana. Hakuna kitu ambacho nmefungua kusema kimekuwa kikitumia data katika back ground nikiwa sijui. Huu ni uhuni..na hiyo 34MB haifungui hata page ya google.