A
Anonymous
Guest
Mtandao wa tiGO ukanda wa Mbeya Kyela umekuwa na changamoto sana takriban wiki mbili sasa kuanzia muda wa saa mbili usiku, changamoto hii ni simu kupatikana kwa shida, kutosikilizana vizuri na message kuchelewa.
Naomba mtandao wa tigo mliangalie hili
Naomba mtandao wa tigo mliangalie hili