Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu.bawa wanachemsha mayai toka juzi,mtandao aueleweki... tunaama kumbafu kabisaa 🙁 🙁
Hama kimya kimya pesa ni yako mkuubawa wanachemsha mayai toka juzi,mtandao aueleweki... tunaama kumbafu kabisaa 🙁 🙁
Labda marinda yametatuliwa walikutana na oversizebawa wanachemsha mayai toka juzi,mtandao aueleweki... tunaama kumbafu kabisaa 🙁 🙁
Hapana nahitaji mkalimanibawa wanachemsha mayai toka juzi,mtandao aueleweki... tunaama kumbafu kabisaa 🙁 🙁
hata mimi sijaelewa Mkuu jiongeze utaelewa
Mhhhh! Utaiweza bei ya voda? Mb 300 buku elfu 3. Na wenyewe ni hodari kukata. Solution ni kuwashitaki kwa waziri ndungule ambaye naye yamemshinda anasubili ku chalamila.nahama kwa kelele, nichukue na wenzangu tuende voda
CUGTigo wapumbavu sana. Huwa naungishwa na voucher za 10,000/= kila mwezi, both me n the rest of staff
Tangu juzi tunatuma message haziendi mpaka ikabidi niingie tena gharama za kujiunga na messages za voda. Ukicall mtandao unasumbua.
Yaani wao wanachojua ni kurusha tu matangazo yao yasioisha. Bora kubaki na voda na kujiunga mtandao mwingine.
Tigo ni mtandao wa hovyo sana
Tigo Tanzania
na izo message za matangazo, kerroooTigo wapumbavu sana. Huwa naungishwa na voucher za 10,000/= kila mwezi, both me n the rest of staff
Tangu juzi tunatuma message haziendi mpaka ikabidi niingie tena gharama za kujiunga na messages za voda. Ukicall mtandao unasumbua.
Yaani wao wanachojua ni kurusha tu matangazo yao yasioisha. Bora kubaki na voda na kujiunga mtandao mwingine.
Tigo ni mtandao wa hovyo sana
Tigo Tanzania