Mtandao wa tiGO waleta huduma ya internet fiber

Mtandao wa tiGO waleta huduma ya internet fiber

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
📣Tumekuletea Fiber to Home: intaneti ya uhakika, isiyo na kikomo na yenye kasi zaidi Tanzania.💫

Huduma hii mpya kutoka #Tigo, inakuwezesha kuunganisha nyumba, biashara, shule, chuo, ofisi yako na intaneti ya uhakika bila kikomo na kukufungulia ulimwengu wa Kidigitali🌍 kwa gharama ya kuanzia Tsh 70,000/=.

Ili kufurahia Fiber to Home wasiliana nasi kupitia namba ya huduma kwa wateja 100 au tembelea #TigoShop karibu yako.

Jiunge na Fiber ufurahie kasi ya WOW yenye;
📌Intaneti bila kikomo
📌Intaneti ya Uhakika
📌unganishwa kirahisi
📌Huduma kwa wateja masaa 24

20240416_121547.jpg
 
📣Tumekuletea Fiber to Home: intaneti ya uhakika, isiyo na kikomo na yenye kasi zaidi Tanzania.💫

Huduma hii mpya kutoka #Tigo, inakuwezesha kuunganisha nyumba, biashara, shule, chuo, ofisi yako na intaneti ya uhakika bila kikomo na kukufungulia ulimwengu wa Kidigitali🌍 kwa gharama ya kuanzia Tsh 70,000/=.

Ili kufurahia Fiber to Home wasiliana nasi kupitia namba ya huduma kwa wateja 100 au tembelea #TigoShop karibu yako.

Jiunge na Fiber ufurahie kasi ya WOW yenye;
📌Intaneti bila kikomo
📌Intaneti ya Uhakika
📌unganishwa kirahisi
📌Huduma kwa wateja masaa 24

View attachment 2965186
Postpaid au prepaid?
 
Jiunge na Fiber ufurahie kasi ya WOW yenye;
📌Intaneti bila kikomo
📌Intaneti ya Uhakika
📌unganishwa kirahisi
📌Huduma kwa wateja masaa 24
  1. Kwanini huku kwingine mnatukomesha?
  2. Kwanini huku kwingine inasuasua
  3. Kwanini huku kwingine tunasumbuliwa
  4. Kwanini mara nyingi huduma kwa wateja ni ya kibabaishaji
 
  1. Kwanini huku kwingine mnatukomesha?
  2. Kwanini huku kwingine inasuasua
  3. Kwanini huku kwingine tunasumbuliwa
  4. Kwanini mara nyingi huduma kwa wateja ni ya kibabaishaji
Polee sana 🤣😁
 
📣Tumekuletea Fiber to Home: intaneti ya uhakika, isiyo na kikomo na yenye kasi zaidi Tanzania.💫

Huduma hii mpya kutoka #Tigo, inakuwezesha kuunganisha nyumba, biashara, shule, chuo, ofisi yako na intaneti ya uhakika bila kikomo na kukufungulia ulimwengu wa Kidigitali🌍 kwa gharama ya kuanzia Tsh 70,000/=.

Ili kufurahia Fiber to Home wasiliana nasi kupitia namba ya huduma kwa wateja 100 au tembelea #TigoShop karibu yako.

Jiunge na Fiber ufurahie kasi ya WOW yenye;
📌Intaneti bila kikomo
📌Intaneti ya Uhakika
📌unganishwa kirahisi
📌Huduma kwa wateja masaa 24

View attachment 2965186
Hiyo 70,000 ni kwa mwezi?
 
📣Tumekuletea Fiber to Home: intaneti ya uhakika, isiyo na kikomo na yenye kasi zaidi Tanzania.💫

Huduma hii mpya kutoka #Tigo, inakuwezesha kuunganisha nyumba, biashara, shule, chuo, ofisi yako na intaneti ya uhakika bila kikomo na kukufungulia ulimwengu wa Kidigitali🌍 kwa gharama ya kuanzia Tsh 70,000/=.

Ili kufurahia Fiber to Home wasiliana nasi kupitia namba ya huduma kwa wateja 100 au tembelea #TigoShop karibu yako.

Jiunge na Fiber ufurahie kasi ya WOW yenye;
📌Intaneti bila kikomo
📌Intaneti ya Uhakika
📌unganishwa kirahisi
📌Huduma kwa wateja masaa 24

View attachment 2965186
Msumi ipo kwenye list yenu?
 
Back
Top Bottom