Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Postpaid au prepaid?📣Tumekuletea Fiber to Home: intaneti ya uhakika, isiyo na kikomo na yenye kasi zaidi Tanzania.💫
Huduma hii mpya kutoka #Tigo, inakuwezesha kuunganisha nyumba, biashara, shule, chuo, ofisi yako na intaneti ya uhakika bila kikomo na kukufungulia ulimwengu wa Kidigitali🌍 kwa gharama ya kuanzia Tsh 70,000/=.
Ili kufurahia Fiber to Home wasiliana nasi kupitia namba ya huduma kwa wateja 100 au tembelea #TigoShop karibu yako.
Jiunge na Fiber ufurahie kasi ya WOW yenye;
📌Intaneti bila kikomo
📌Intaneti ya Uhakika
📌unganishwa kirahisi
📌Huduma kwa wateja masaa 24
View attachment 2965186
Ni mfumo wa fiber kaka unalipia elfu 70 kwa mweziPostpaid au prepaid?
Unalipia kabla au baada ya?Ni mfumo wa fiber kaka unalipia elfu 70 kwa mwezi
Nyumbani kwangu siioni, mmeweka sehemu gani?Tumekuletea Fiber to Home: intaneti ya uhakika, isiyo na kikomo na yenye kasi zaidi Tanzania.
Jiunge na Fiber ufurahie kasi ya WOW yenye;
📌Intaneti bila kikomo
📌Intaneti ya Uhakika
📌unganishwa kirahisi
📌Huduma kwa wateja masaa 24
Soon tutasambaa dar es salaam nzima mkuuNyumbani kwangu siioni, mmeweka sehemu gani?
Polee sana 🤣😁
- Kwanini huku kwingine mnatukomesha?
- Kwanini huku kwingine inasuasua
- Kwanini huku kwingine tunasumbuliwa
- Kwanini mara nyingi huduma kwa wateja ni ya kibabaishaji
Baada ya kufanyiwa installationUnalipia kabla au baada ya?
Hiyo 70,000 ni kwa mwezi?📣Tumekuletea Fiber to Home: intaneti ya uhakika, isiyo na kikomo na yenye kasi zaidi Tanzania.💫
Huduma hii mpya kutoka #Tigo, inakuwezesha kuunganisha nyumba, biashara, shule, chuo, ofisi yako na intaneti ya uhakika bila kikomo na kukufungulia ulimwengu wa Kidigitali🌍 kwa gharama ya kuanzia Tsh 70,000/=.
Ili kufurahia Fiber to Home wasiliana nasi kupitia namba ya huduma kwa wateja 100 au tembelea #TigoShop karibu yako.
Jiunge na Fiber ufurahie kasi ya WOW yenye;
📌Intaneti bila kikomo
📌Intaneti ya Uhakika
📌unganishwa kirahisi
📌Huduma kwa wateja masaa 24
View attachment 2965186
Msumi ipo kwenye list yenu?📣Tumekuletea Fiber to Home: intaneti ya uhakika, isiyo na kikomo na yenye kasi zaidi Tanzania.💫
Huduma hii mpya kutoka #Tigo, inakuwezesha kuunganisha nyumba, biashara, shule, chuo, ofisi yako na intaneti ya uhakika bila kikomo na kukufungulia ulimwengu wa Kidigitali🌍 kwa gharama ya kuanzia Tsh 70,000/=.
Ili kufurahia Fiber to Home wasiliana nasi kupitia namba ya huduma kwa wateja 100 au tembelea #TigoShop karibu yako.
Jiunge na Fiber ufurahie kasi ya WOW yenye;
📌Intaneti bila kikomo
📌Intaneti ya Uhakika
📌unganishwa kirahisi
📌Huduma kwa wateja masaa 24
View attachment 2965186
Ndio mkuuHiyo 70,000 ni kwa mwezi?