Mtandao wa ufadhili wa Alshaabab wafumuliwa hadi Afrika Kusini

Kijana ana acoount tena agent 52
Halafu mnajisifia mna inteligensia nzuri

Acheni sifa semeni tu mnasaidiwa na kushikiwa fimbo na kuelekezwa muende wapi



Sent from my SM using Tapatalk
 

Kazi nzuri!
 
Hatua nzuri hii na hongera kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Mtu aliyefadhili mauwaji hana tofauti yeyote na waliojilipua na kuua watu siku ya tukio.
 
Hatua nzuri hii na hongera kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Mtu aliyefadhili mauwaji hana tofauti yeyote na waliojilipua na kuua watu siku ya tukio.

Kabisa,wahakikishe wanawafuta wote wafadhiri wao au wanaosaidia kutuma hela kwenye ramani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…