Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Wakuu...hivi ni mitandao yote saivi au ni huu voda tu ndio wa kijinga saivi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana tatizo, nadhani kulikuwa na rushwa wakati wanabadili mfumo kuweka vitu Fulani hivyo ikatokea aliyeleta mfumo hakufundisha wanaohusika so troubleshooting inakuwa shida nasikia ni kama wanahujumiwa. Yaani aliyesimamia tenda ni jambaziWakuu...hivi ni mitandao yote saivi au ni huu voda tu ndio wa kijinga saivi...
DuuWana tatizo, nadhani kulikuwa na rushwa wakati wanabadili mfumo kuweka vitu Fulani hivyo ikatokea aliyeleta mfumo hakufundisha wanaohusika so troubleshooting inakuwa shida nasikia ni kama wanahujumiwa. Yaani aliyesimamia tenda ni jambazi
Ila we mtoto kila ninapopita nakukuta nimebanwa upwiru vua nguo buy the way Vodacom wapo vizuri km wewe na leo ikishinda naomba utimize ahadi ya kuvua nguo humu humu JF tukuone mpaka ndaniVodacom wapo vzr
Tuvumilie kidogo waliomba tuwape wiki mbili wanafanya maboresho makubwa.. Bado siku nne tuuWakuu...hivi ni mitandao yote saivi au ni huu voda tu ndio wa kijinga saivi...
Ndio mtandao uzime mpaka huku maporini?Tuvumilie kidogo waliomba tuwape wiki mbili wanafanya maboresho makubwa.. Bado siku nne tuu
KakaJambazi si yupo humu?Wana tatizo, nadhani kulikuwa na rushwa wakati wanabadili mfumo kuweka vitu Fulani hivyo ikatokea aliyeleta mfumo hakufundisha wanaohusika so troubleshooting inakuwa shida nasikia ni kama wanahujumiwa. Yaani aliyesimamia tenda ni jambazi
Mkuu wiki tatu zilizopita, nilienda hoteloni, baadae ya kula nikashindwa kulipa Kwa lipa na hata kutoka bank kuja lipa namba.Ukifanya Transaction usiku ujue imeliwa,anything with LIPA Namba au Selcom lazima wakulize,Voda iko ICU