Kwanza niwapongeze kwa kufanikiwa kweny manunuzi ya mtandao wa tigo na mkaubadilisha jina kuwa" YAS"
Mahali mnapofeli kwa sasa
1. Mmebweteka saana, kweny promotion mkiendelea kutegemea promo za zamani za tigo na mnachofanya ni kubadili jina tuu la promotion.
2. Kukosekana kwa ubunifu na kukosa tyming ya soko.
My take: unapoamua kuubadilisha mtandao jina ni sawa na kuanza biashara!
Hili gape/ombwe la kibiashara mliloliacha ukitokea mtandao wenye offa nzuri hakika watu watazitupa Laini zenu.
Biashara ya simu ina ushindani mkubwa saana. Inatakiwa unapoleta mtandao mpya sokoni uumbatane na offa za kutosha sana!
Ni vile kwasasa mnafanya kazi Kama Cartel ingekuwa enzi zile umngeshapotea zamn sana.
Kama mmeshiwa mbinu tumieni hata za zamani
1: internet kuanzia saa 6 usiku buree mpk asubuhi
2: vifurushi vya chuo vijazwe dk na sms
3: mtoe zawadi Live Kama pikipiki, trekta, gari!! Sio mnaishia kusema kuwa umeingia kweny droo.
Mkubali hasara ya muda mchache mpate faida ya muda mrefu..
Tumieni Tax Holiday hii ya sasa mpate faida ya muda mrefu....
Changamkeni
Mahali mnapofeli kwa sasa
1. Mmebweteka saana, kweny promotion mkiendelea kutegemea promo za zamani za tigo na mnachofanya ni kubadili jina tuu la promotion.
2. Kukosekana kwa ubunifu na kukosa tyming ya soko.
My take: unapoamua kuubadilisha mtandao jina ni sawa na kuanza biashara!
Hili gape/ombwe la kibiashara mliloliacha ukitokea mtandao wenye offa nzuri hakika watu watazitupa Laini zenu.
Biashara ya simu ina ushindani mkubwa saana. Inatakiwa unapoleta mtandao mpya sokoni uumbatane na offa za kutosha sana!
Ni vile kwasasa mnafanya kazi Kama Cartel ingekuwa enzi zile umngeshapotea zamn sana.
Kama mmeshiwa mbinu tumieni hata za zamani
1: internet kuanzia saa 6 usiku buree mpk asubuhi
2: vifurushi vya chuo vijazwe dk na sms
3: mtoe zawadi Live Kama pikipiki, trekta, gari!! Sio mnaishia kusema kuwa umeingia kweny droo.
Mkubali hasara ya muda mchache mpate faida ya muda mrefu..
Tumieni Tax Holiday hii ya sasa mpate faida ya muda mrefu....
Changamkeni