Mtandao wa Zoomtanzania na magari ya mnada

Mtandao wa Zoomtanzania na magari ya mnada

Infopaedia

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
1,231
Reaction score
1,491
Habari wakuu. Kwenye mtandao wa Zoomtanzania ambalo ni duka la mtandaoni, nimeingia na kukuta magari mengi ya mnada. Kuna gari nyingi naona zimeandikwa 'manada wa magari', kwa maana ya kwamba zinapatikana kwenye huo mnada.
Wakuu, kama kuna mtu ana uzoefu na huo mnada, naomba anishirikishe mawili matatu na uhalisia wa huo mnada kwa ujumla. Ningependa zaidi nisikie toka kwa mtu aliyekwisha wahi kununua gari kutoka kwenye huo mnada. Asanteni.
 
Habari wakuu. Kwenye mtandao wa Zoomtanzania ambalo ni duka la mtandaoni, nimeingia na kukuta magari mengi ya mnada. Kuna gari nyingi naona zimeandikwa 'manada wa magari', kwa maana ya kwamba zinapatikana kwenye huo mnada.
Wakuu, kama kuna mtu ana uzoefu na huo mnada, naomba anishirikishe mawili matatu na uhalisia wa huo mnada kwa ujumla. Ningependa zaidi nisikie toka kwa mtu aliyekwisha wahi kununua gari kutoka kwenye huo mnada. Asanteni.
Manada huioni
 
🤣🤣🤣 wapi nimeandika hivyo???. Ulichosoma sicho kilichoandikwa mkuu.
Screenshot_20220501-095959.png
 
Hiyo biashara ya mnada kuwa nayo makini, imejaa utapeli hivyo one mistake, one goal!!!!
 
Back
Top Bottom