Mtanganyika anaruhusiwa kugombea kiti cha Urais Zanzibar? Kama hapana, kwanini wao wanaruhusiwa Tanganyika

Mtanganyika anaruhusiwa kugombea kiti cha Urais Zanzibar? Kama hapana, kwanini wao wanaruhusiwa Tanganyika

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa upana wake sijaweza kuelewa vyema.

Je, mtanganyika anaruhusiwa kugombea kiti cha urais kwa upande wa Zanzibar?

Je, mzanzibar anaruhusiwa kugombea kiti cha urais upande wa Tanganyika?

Anayefahamu vizuri katiba yetu naomba anifafanulie vizuri.
 
Muungano wa tanganyika na zanzibar kwa upana wake sijaweza kuelewa vyema,
Je mtanganyika anaruhusiwa kugombea kiti cha uraisi kwa upande wa zanziba? Na
je mzanzibar anaruhusiwa kugombea kiti cha uraisi upande wa tanganyika?
Anayefahamu vizuri katiba yetu naomba anifafanulie vizuri
Kila Mzanzibar ni Mtanzania, ila si kula Mtanzania ni Mzanzibar, hapo hujaelewa nini?

Nyinyi si hamtaki Tanganyika yenu mnajiita Tanzania bara? hii laana ya mama Tanganyika itawatafuna sana.
 
Muungano wa tanganyika na zanzibar kwa upana wake sijaweza kuelewa vyema,
Je mtanganyika anaruhusiwa kugombea kiti cha uraisi kwa upande wa zanziba? Na
je mzanzibar anaruhusiwa kugombea kiti cha uraisi upande wa tanganyika?
Anayefahamu vizuri katiba yetu naomba anifafanulie vizuri
Ni kama kugombea Charles Kitima akitangaza nia kugombea U-Mufti wa Tanzania
 
Muungano wa tanganyika na zanzibar kwa upana wake sijaweza kuelewa vyema,
Je mtanganyika anaruhusiwa kugombea kiti cha uraisi kwa upande wa zanziba? Na
je mzanzibar anaruhusiwa kugombea kiti cha uraisi upande wa tanganyika?
Anayefahamu vizuri katiba yetu naomba anifafanulie vizuri
Kasome Katiba ya JMT ya mwaka 1977 toleo la 2000, acha kutuchosha humu
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa upana wake sijaweza kuelewa vyema.

Je, mtanganyika anaruhusiwa kugombea kiti cha urais kwa upande wa Zanzibar?

Je, mzanzibar anaruhusiwa kugombea kiti cha urais upande wa Tanganyika?

Anayefahamu vizuri katiba yetu naomba anifafanulie vizuri.
Haya maswali ya kijinga mods msiwe mnayaruhusu. Demokrasia sio kuandika kila kitu. Tanganyika HAIPO halafu mtu anaulizia Ugombea Urais wa Tanganyika. Very stupid!!
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa upana wake sijaweza kuelewa vyema.

Je, mtanganyika anaruhusiwa kugombea kiti cha urais kwa upande wa Zanzibar?

Je, mzanzibar anaruhusiwa kugombea kiti cha urais upande wa Tanganyika?

Anayefahamu vizuri katiba yetu naomba anifafanulie vizuri.
Swali lako zuri sana,............linafanana na mtu anayeuliza:-,mbona mtu akiwa Tanzania anaweza kununua vitu kwa USD ila akiwa U.S hawezi nunua vitu kwa TSH?
Jibu ni,kuna mmoja alimzidi akili mwenzake,.
Kipindi Nyerere anajisifu yeye msomi,Karume alitulia kimyaaa,akiziamini akili zake😁😄😃
Na hapa ndio unakuta south Africa Kuna maprofessa wa nyanja zote mara 100 ya Saudi Arabia,ila uchumi wa Saudia ni mara 100 wa south africa
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa upana wake sijaweza kuelewa vyema.

Je, mtanganyika anaruhusiwa kugombea kiti cha urais kwa upande wa Zanzibar?

Je, mzanzibar anaruhusiwa kugombea kiti cha urais upande wa Tanganyika?

Anayefahamu vizuri katiba yetu naomba anifafanulie vizuri.
Hii hadithi mpaka lini? Mkuu haya mambo yapo tu. Kama hutaki vunja muungano.
 
Back
Top Bottom