Mtangazaji B Dozen amvalisha pete mpenzi wake wa miaka mingi

Sio kwamba hataki ila bado hajabahatika kupata. Sasa mwanaume lazima taa iwake, hii inaweza kuwa sababu ya kumfanya avute muda. Mbona Majizo ana mtoto kwa Hamisa.
Na mbona hakumuoa huyo mdada sasa kama ishu ni watoto

Na sio hamisa tu, anao watoto wengi kwa mama tofauti

That's y Eliza haoni jipya
 
Nje ya mada jina la huyu binti kwa wale old timer kipindi Gadner anamuoa Jd 2001/2002 sikumbuki vizuri pale mawingu kuna demu walikuwa wanamgombea Captain alikuwa na jina kama hili ni huyu au mwingine?
 
Umeongea yote mkuu,sina la kuongeza hapa labda Wangari Maathai ataongeza
 
Umeongea yote mkuu,sina la kuongeza hapa labda Wangari Maathai ataongeza
Hujanijuaga tu shost...mie kwenye mahusiano najionaga sielewi ...yaan sielewi ..kwanza nikiona matarumbeta mwenzako nasonyaga. ...nadra Sana kuniona jukwaa la mapenzi mimi ukiniona jukwaa la mapenzi Basi jua Kuna kitu nakimissπŸ™ƒ....Sasa sijui Kama naelewa kituπŸ˜€!
Nikiona mdada anajiashua ameolewa siku ya ndoa namshangaa Sana!
Nachopenda ni kitu kimoja...nataman wanawake woteee wapite labor room!
 
True love wangu ndo huyu memba kasema ndoa sio kila kitu unaweza ukaolewa ukajutraa. Hata mimi lile jukwaa natembelea mara moja kwa kwa miezi 4,
Mapenzi hayana mwalimu
 
True love wangu ndo huyu memba kasema ndoa sio kila kitu unaweza ukaolewa ukajutraa. Hata mimi lile jukwaa natembelea mara moja kwa kwa miezi 4,
Mapenzi hayana mwalimu
Love is sweet ukimpata THE RIGHT ONE na Mkaaminiana. Mkapanga Plans, mkaweka wazi PESA zenu na mkawa loyal to the plans. (When the love is mutual and unconditional).
Sema sasa, upande wa pili ni kuwa kwenye mahusiano kila MTU anaingiaga akiwa na agenda zake za siri Kiwizi wizi!! Ukilala umeliwa... CHANGU ni Cha KwANGU, ila chaKwAKE ni CHETU!!πŸ˜€ cheti cha ndoa hapo ni BOGUS TREATY, kutumiana kama fursa.
Au unakuta mwanandoa mmoja ka-fall in love so deep ila mwanandoa mwingine yupo yupo tu!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…