Ha ha ha. Avatar yake inafurahisha sana. Ni burudani Tosha.Kuu avatar yako matata sana......
aweke na sauti pia[emoji12] [emoji12]Mkuu Weka Picha Ya Huyo Mtangazaji Tumuone
haifanani na maneno yake kabisaKuu avatar yako matata sana......
Clouds Fm sports extra .Azam TV
Wanaume wa dar wanazan Efm tunaipata huku kwetuwanaume wa dar wanafikiri watu wote tunasikiliza izo redio zao za dar
WatangazajiNi wakina Nani hao....??
wanaume wa dar wanafikiri watu wote tunasikiliza izo redio zao za dar
Aana makalio membamba sana. Ukimuona uso kwa macho utamkimbia
mkuuu umenifanya nicheke kwa sauti kubwaaweke na sauti pia[emoji12] [emoji12]
Clouds mbona ni radio kubwa tu. Labda kama huna radio.Hiyo redio ipo mkoa gani?
Wavulana wa Dar bhana!
jibu swali la makalioClouds mbona ni radio kubwa tu. Labda kama huna radio.