Super Tuesday
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 636
- 727
Hivi bado yupo ITV au kesha sepaaa.....sijamuona muda sasa katika studioJackline Silemu
R.I.P REHEMA MWAKANGALEbila ubishi taarifa ya habari ya kituo cha itv ya saa 2 usiku kila siku ndio inayoongoza kwa kuwa na watazamaji wengi hapa nchini kuliko ya vituo vingine vya televison, sasa je ni reporter gani anakuvutia pale anaporipoti habari yake? mimi navutiwa na Mabere Makubi na Fortuna Suleiman.