Mtangazaji gani wa ITV anakuvutia?

Super Tuesday

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2016
Posts
636
Reaction score
727
bila ubishi taarifa ya habari ya kituo cha itv ya saa 2 usiku kila siku ndio inayoongoza kwa kuwa na watazamaji wengi hapa nchini kuliko ya vituo vingine vya televison, sasa je ni reporter gani anakuvutia pale anaporipoti habari yake? mimi navutiwa na Mabere Makubi na Fortuna Suleiman.

Naomba tunapochangia tutaje reporters na sio watangazaji.
 
yule wa mbeya nani sijui lengwa hata kuvaa hajui leo kavaa jitisheti baaya lina maandishi andishi halafu chafu aibu kabisa itv kuwa na reporter kama huyu asiejijali...of all somebody Bichwa wa Rwanda ndie ana endosment yangu
 
R.I.P REHEMA MWAKANGALE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…