Miss nai mbn unawapenda wooote jmn, chagua mmoja waachie na wenzio wapate[emoji12] [emoji23] [emoji23] jokesSam mahela,, spensa lamek,, farhia middle,, masako(ameshastaafu)
Fatma Almasi Nyangasa , natamani nimchomoe kwenye screen kwa remote.
Yupo clauds mkuu walumchukua[emoji1]Nipo nje ya topic. Ivi uyu mtangazaji wa RFA alipoteleaga wapi wandugu????
FREDUWAA
Katika watangazaji hapa bongo this guy nilikua namkubali mnoo
Babie kabae beauty with brain anatisha usiangalie tu sura angalia na contents kichwaniWatangazaj wote wa Azam ndiio wanaongoza hapa danganyika. Na most of them wamitokia Star tv
- Baruan muhuza
- Yahya mohamed
- Kamuntu
- Fatma almas
- Rehema salum
- Nyamwihula
- Charles hilary
πππ huyu mama yuko vzuri balaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
naona ume amua u unge kabsa
ila nakonaga kama kavivu kavivu flan hivi ka jackπππ huyu mama yuko vzuri balaa
huyu Muha hakuna kitu mbwembwe tu
ho uvivu ndio safi ..kwanza kanaonekana kanajua kudeka balaaila nakonaga kama kavivu kavivu flan hivi ka jack
enheee! wewe kweli unakajua, kanaonekana ni kadekaji kakubwa kale.ho uvivu ndio safi ..kwanza kanaonekana kanajua kudeka balaa
ππππππππππenheee! wewe kweli unakajua, kanaonekana ni kadekaji kakubwa kale.
yaan kana mambo flan hivi [emoji23]
duuh!!Gigy money choice tv
ila bro katakusumbua kale kuwa makiniππππππππππ
Vipi?duuh!!
[emoji23]
umechagua controvesial figure.Vipi?
Mh! Kuna kingine anawakilisha[emoji3] [emoji2] nipe ubuyu kidogoumechagua controvesial figure.
ujue Gigi hawakilish utangazaji tu