Mtangazaji Jabir Salehe amepona Corona

Angetueleza ilikuwaje akapata na alijitibu kwa kutumia nini? Dalili gani alihisi?
 
Reactions: BAK
Kwani wewe husikilizi vyombo vya habari? Husomi kwenye mitandao na hata husikii viongozi mbalimbali wakiongea au ndio kujitia hamnazo?

Wewe ndio hamnazo mkuu ,unajua variant maana yake? Sio kila kitu kujifanya mjuaji...Kuna immunity sio kila mtu akipata corona anaonyesha dalili sawa na mwingine...Swali langu ni specific kwake sio general au haujui kuna wengine wanapata corona na hawaonyeshi dalili? Shule mlienda kusomea UJINGA?
 
Sasa aje akuambie ili iweje? Yeye kapimwa kakutwa na mdudu, kapambana kafanikiwa kumshinda. Au una mashaka na taarifa yake? Je akikuthibitishia kea taarifa ya uongo ndo utaamini...

Huyu mdudu yupo, tuchukue tahadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…