Mtangazaji Khalid Gangana wa TBC aonyesha Ukengeukaji mkubwa mbele ya Makonda Studioni

Hmm, ulitaka mwandishi hbr anune,sio? Je,wewe unaamini kuwa wauza sembe wamebadili mbinu ya kuingiza dawa hzo nchini? Je,tangu lini RC mkoa wowote Tz analazimika kutulia mkoani kwake?
 
Naona ni mtu mmoja tu ndio ka like comment yako
 
bila shaka ww mwenyewe unajishtukia ulichoandika ni pumba pumbafu. hizo kaz za kupewa unajinyea mwenyewe na huku unajicheka
 
Ukipimwa mkojo halafu majibu yakasoma negative, naenda kukivunja kifaa kilichotumika kukupimia. Na hiyo mimba ikikutwa si ya msukuma, I do the same kwa mashine ya DNA
Mkuuu nimekuelewa vizuri ulicho mjibu huyu demu mwenye asili ya kwa kagame.Anatetea kitumbua cha mumewe tu.Kuhusu mimba sidhani kama kwa laana anazoendelea nazo itanasa.Jamaa ataenda mazoezi mpaka misuli ipasuke lakini laaana yakukana ubini(ukoo) pamoja na kumkana mzee Bashite itamtafuna na mwisho wake utakuwa mbaya
 
Nadhani watangazaji wa Tbc wanafanana kwa tabia, kuna yule dada alimuuliza Sizonje swali wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari eti raisi anapendelea nini,kwa hyo hata sio ajabu kwa huyu wa leo na yy kuhoji maswali ya kijinga
 
Kumbe ni mkewe!
 
Mtangazaji ukisimamia taaluma yako unakua vizur na heshima utajijengea sio kujipendekeza huwa inakua kwa muda tu mwisjowe utalia na kuuaga meno
 
Kuna maswali hapo kama ya darasa la kwanza ambayo hayakuwa na umuhimu wowote. bado kuna tatizo kwenye hizi Tathinia ya habari
 
Ahahaha!!!! Yaani hawapati usingizi kuhusu Makonda, wamesema na kumtusi matusi ya nguoni, Jamaa anapeta tuu!!! Nimeamini awamu ya Tano ni Mwiba mkali na Sumu mbaya kwa wadudu wote wa nchi Hiii.... Bila Makonda na JPM haiwezekani.. Te te te te te te te te te te
 
Mzee Albert Bashite yupo naye mumhoji. Je unaweza kutupa full history ya Paul Christian Makonda pamoja na wazazi wake wajitokeze na tumfahamu mzee Christian Makonda. Uwe mkweli usitumike

Ipo youtube.
 
Ukipimwa mkojo halafu majibu yakasoma negative, naenda kukivunja kifaa kilichotumika kukupimia. Na hiyo mimba ikikutwa si ya msukuma, I do the same kwa mashine ya DNA

Duh

Hii nayo kali... nink tena. Eeeeeeeeeh

RC ni family man, ana mke anampenda sana sana.

Acha wivu, fanya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…