Mtangazaji Masoud Masoud wa TBC

Zomboko mtu wa kujikomba sana..afu yeye anajua mziki wa bendi za Daresalama tu na ubabaishaji mwingiii
ha ha ha......Jamaa ni Mzaramo aise...jamii ya akina Mbwiga.

Ila anajitahidi kutukumbushia enzi zetu zile si haba......ila Masudi amebobea.
 
weka wazi Masoud alipochemsha na sio kutuhumu tu... pengine hukumuelewa
 
weka wazi Masoud alipochemsha na sio kutuhumu tu... pengine hukumuelewa


Alisimulia kuwa Papa Wemba ndiye alikuwa muasisi wa Zaiko na alipiga muziki na Dindo Yogo Zaiko. Akaweka wimbo wa 'C'est La Verite," utunzi wa Papa Wemba uliotungwa mwaka 1974 akiwa na Zaiko. Waimbaji katika ule wimbo walikuwa ni Nyoka Longo, Papa Wemba, Mavuela Somo, Gina Efonge (Gina Wa Gina).....Cha kushangaza Masoud alisema Papa Wemba aliimba na Zaiko ule wimbo mwaka 1969 akiwa na Dindo Yogo, kitu cha uwongo kabisaaaaaa. yaani mengi aliyo ongea dhidi ya Papa Wemba ni kama alisimuliwa na Le Mutuz vile kutokana na jinsi alivyochemsha.
 
Ama hakika hili ni gulu la habari za mziki na wanamziki.
Anaujua mziki hasa wa enzi zile sio hawa vijana wa kileo na kelele kelele za bangi.
Kutangaza hawajui ujuaji mwingi, matusi na maisha yao yamegubikwa makandokando mengi.
Cc Adam Mchomvu&B12


Hawa wa sasa wamewekwa tu ili kugawa service kwa bosses na ndiyo maana hawajuwi chochote.
 
Jamaa ana kipaji kwa kweli na anaipenda kazi yake. Kionjo:

 
Katika quotes zake ndani ya MKASI kuna sehemu alisema MAOFISINI KUNA WAKE ZA WATU WENGI TU WANAJIUZA?

Kuna nyingine kuhusu mziki alisema: HAKUNA ANAEIJUA HISTORIA YA MUSIC WA EA KAMA YEYE!
 
anakwambia mwanamuziki wa kweli ni ally kiba tanzania chanzo mkasi wa eat tv.
 
uko sahihi , ukisikiliza mahojiano yake na wanamuziki wa enzi hizo utasikia burudani tu, anamjua muhojiwaji na anajua amuulize nini. niliwahi kumrekodi akimuhoji, marehemu Kabeya Badu, Dingituka Molay na wengine wengine, ni kati ya watangazaji wenye upeo mkubwa na kazi yake.
 
Tunahitaji Masoud masoud wa miziki ya kizazi hiki kipya,kila zama ina watu wake na tuache hii biashara ya kupondea sana kazi za kizazi kipya as if hakuna wanachofanya mkuu
Kisima,tujikumbushe kule walikoanzia na walipo sasa,mziki wao umekuwa sana kwa kwelli ,kwahiyo tutegemee mazuri pia kwenye miziki hii.
 
anakwambia mwanamuziki wa kweli ni ally kiba tanzania chanzo mkasi wa eat tv.
Mwanamziki wa kweli kweli ni yule anaepiga hela for future ww na sauti yako nzur huna lolote umaarufu mjin PESA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…