Mtangazaji Shafii Dauda vs Msemaji wa Simba, Haji Manara

Sibonike

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
17,296
Reaction score
18,027
Kuna vita inaendelea kwenye social media kati ya watu wawili ambao wanajulikana ni wana Msimbazi kinda kindakindaki.

Kila kijembe cha Dauda kinajibiwa kwa kuikashfu Yanga ambayo haina uhusiano na ugomvi wao.

Kila kombora la Shafii linajibiwa kwa kuikejeli Yanga. Vyema Haji akajua namna ya kupigana vita yake.

Au Shafii anaiwakilisha Yanga kwenye ugomvi wao? Kwenye vita, kwanza mjue adui yako.
 
Tuma picha mkuu tuone, huwezi kula nyama bila toothpick

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewahi kusema penye simba pana yanga na penye yanga pana simba.
 
Manara anajitahidi katika majukumu yake...ila kwenye hili anatumia ngivu nyingi sana bila sababu.

Kuna facts ngumu kupingana nazo ikiwamo Simba kuwa underdog kwenye kundi lake...,kitu hiki sio matusi kwa Simba na haimaanishi ndio itakufunga mkia kwenye matokeo.

Ila kwa kuwa akakula kwa kubwabwaja, acha aendelee.
 
kusema underdog na kuikubali hali husika ni kuwa vunjà mrali wachezaji... na manara kama sehemu ya uongozi hawezi ruhusu hilo kwa timu yake...

ana tumia nguvu nyingi kusema ana weza hata kama hawezi, yeye ni muhamasishaji mzuri...

ni kama mzazi na mwanae, huwezi mwambia mwanao kichwa box au utafeli mitihani ni migumu na wewe nikilaza...

hivyo Manara yupo sahihi kwa hilo... simba sio underdog ni timu kubwa yenye kuweza kutoa ushindani...

kama swala ni hilo basi shaffih kachemka...!
 
Kwangu mm naona ndio inasaidia kuongeza morali kwa wachezaji maana itawafanye watumie nguvu kubwa kubakikisha timu kubwa haiwezi kushinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…