Mtangazaji Shafii Dauda vs Msemaji wa Simba, Haji Manara

Pole sana Mtani.
 
Dauda si mwanaYanga?
 
Bifu la haji manara na shafii dauda ni ugovi wametengeneza wao tu hasa baada ya dauda kuibiwa account yake 1million followers so naona wameamua kupigana tafu kukuza account yake dauda maana wanajua wabongo wapenda ubuyu sana . naona hii mbinu imesadia maana dauda sasa hivi account imekua fasta sana kwa muda mfupi tu 95k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa sana Mkuu hasa kutokana na hii kauli ya Manara hapo nyuma.

Hii ni movie wanatuchezea sababu haiwezekani mtu mwenye ugomvi naye halafu aombe watu wamfollow.
 
Lakini hayo yote hayajajibu maswala yangu mawili ya msingi: 1. Benchi la Ufundi halina mtaalamu wa kuwatuliza wachezaji kisaikolojia hadi kazi hiyo ifanywe na mhamasishaji? 2. Kuna uhakika gani kuwa uhamasishaji huo wa njia ya mipasho dhidi ya Shafii utawafikia wachezaji na kwa namna itayowajenga ipasavyo?
 
Duu! Mpaka we mnazi wa Yanga unaishauri Simba? Kweli Manara ni mwiba uliokomea kwenye Koromeo la Yanga. Poleni watani mtazoea tu japo mwanzo mgumu
 
Mkuu ebu jaribu kufikiri zaidi na zaidi... usi ishie hapo ktk kufikiri...
 
tatizo ni mifumo yetu ambayo tuna wasemaji wa timu kwa wasio na maamuzi kwenye timu,mfano manara ndani ya simba ni kama loud speaker tu,ona wenzetu walioendelea kocha ndiye msemaji wa timu(mfano real madrid,man utd,ac milan,n.k)lazima tuachane na mifumo isiyo na tija ili tuelekee kule kwenye maendeleo ya kweli na sio kwa hawa wapiga domo tumbo lishibe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…