Mtangazaji wa Clouds, Diva the Bawse afunguka ya moyoni kuwa hawezi kuzaa kisa matatizo kwenye uzazi

Katika jamii niliokulia,
Mpaka umchangie mtu,unahakikisha na yeye anaonyesha nia hata kwa kukopa,kuuza baadhi ya mali hata kiwanja na kuanza kuwachangisha watu wake wa karibu kwanza.
Diva huwa anajisifia utajiri...sasa million 15 katika familia bora ni jambo dogo mno.Amekopa hata kupitia kazi yake?biashara zake?
Mungu amsaidie atapata.
 
Maana yake hiyo michango anaifanya kama ndo 'insurance'!
Yani akatibiwe,akaishi kule apate sperm donor na bado akirudi isiwe imeathiri hali yake ya kifedha.
 
Life isn't fair. Kuna watu wanazitoa kila siku hizo mimba wengine wanazihangaika kama hivyo maskini.
Mungu wetu ni mwaminifu atampa wakati wake ukifika.
Pole kwake Diva

Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika yeye hakatoa, mavidonge na kuvuruga mfumo wa uzazi kwa mavyuma ni adhabu hiyo shetani ana mnyoosha..!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dola 7000 nahisi ni gari mbili tu ndogo za kutembelea za makapuku kama sisi, nakumbuka pia alishajinadi huyu binti kwa mwanaume wa kumuoa aweze kumlipia mahali mamilioni kadhaa....
Nahisi mabinti wa kitanzania mnatakiwa kujitathmini na kuthamini maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole aisee
Haya nenda kamchangie aende marekani
Hahaha kuna siku alhojiwa akasema kwake ""kutumia. M6,M4 kwa siku sio jambo la ajabu nadhan watu wote wanajua am the bawse""

Niliumia sana ukizangatia mda uo hata sijala sababu ya buku tu sina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…