Mtangazaji wa CTN Rahma Aziz

Mwana Mpotevu

Platinum Member
Joined
Sep 7, 2011
Posts
3,295
Reaction score
2,501
Wanajamvi naomba mwenye taarifa na mahali alipo mtangazaji wa zamani wa vipindi vya muziki katika televisheni ya CTN Rahma Aziz. Ni mmoja wa watangazaji wachache wabunifu katika vipindi vya muziki aliyewahi kuwepo Tanzania.

Yu wapi kwa sasa?
 
mmh..kapotea siku nyingi yule dada wa kiarabu..usikute kaolewa kazalishwa katulizwa..!
 
mmh..kapotea siku nyingi yule dada wa kiarabu..usikute kaolewa kazalishwa katulizwa..!

nawe unamkumbuka? alikuwa mkali balaa kapotea sana sijui kajificha wapi huyu dada
 
Mbona wapo wengi tu hawakumbuki, kama vile Misanya Bingi, Vicky Msina, Nicky Ngonyani, Sunday Shomari, Kiyungi Nk.
kwani mtu akiwa na hamu ya embe lazima umlazimishe atamani na pera,nanasi na papai?hao umewamiss wewe wengine kawaida wawepo wasiwepo mzuka!f.y.i huyo rahma aziz alikuwa anakimbiza japo katika media hakudumu kwa muda mrefu!
 
kwani mtu akiwa na hamu ya embe lazima umlazimishe atamani na pera,nanasi na papai?hao umewamiss wewe wengine kawaida wawepo wasiwepo mzuka!f.y.i huyo rahma aziz alikuwa anakimbiza japo katika media hakudumu kwa muda mrefu!
Khaa na atamani na Bungo pia. Huyo mtoto sasa ni -- Bungo--
 
mtoto alimchanganya hadi marehem lucky dube
Rahma Aziz ndie aliyechanganyikiwa na Dube Nadhani dube hakuwa na time ya kumchukua nadhani aligonga tu akaacha baada ya kuambiwa mbele ni haramu
 
Mbona wapo wengi tu hawakumbuki, kama vile Misanya Bingi, Vicky Msina, Nicky Ngonyani, Sunday Shomari, Kiyungi Nk.

Najua Misanya Bingi yupo UDSM anafundisha, Vicky Msina anafanya kazi BOT, Sunday shomari yuko Marekani VOA, Rahma AZIZ sijui ndio maana nikauliza
 
Rahma Aziz ndie aliyechanganyikiwa na Dube Nadhani dube hakuwa na time ya kumchukua nadhani aligonga tu akaacha baada ya kuambiwa mbele ni haramu

Maandamano yuko sahihi, Lucky Dume ndio alichanganyikiwa kwa Rahma akamuuliza umeolewa akajibu hapana, kisha akamwambia UISO (aliyekuwa promota wake kama sijakosea na kumleta Bongo) kuwa anatamani kumuoa Rahma so afuatilie taratibu za kutoa mahari kwao. Lakini naamini it was just a joke!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…