Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 2,713
- 3,559
Mimi kama muhenga wa JF Kuna hii trend inayoendelea sasa hivi kuhusu wahenga nakumbuka niliwahi kumsikia mtangazaji mmoja wa Eatv anaitwa Materu wa Materuni alkuwa akitoa misemo hii kipindi cha nyuma haswa wakati anamalizia kusoma habari ndani ya kipindi cha Hotmix ana vimisemo flani hivi ambavyo mara nyingi huwa anasema "wahenga walinena...
Mfano juzi alikuwa akizungumzia kesi ya ndumbaro akamalizia kwa kusema kuwa "Furaha ya mwenye meno mwenye mapengo hacheki "huyu jamaa yupo creative sana, siku ya birthday yake kazua mpya kwa kuleta keki ya Viazi akiiita ndio ya wahenga. Inatakiwa kuwa na watu kama hawa wabunifu wanafanya habari inakuwa inavutia.
https://www.facebook.com/video.php?v=1735361483145562
Mfano juzi alikuwa akizungumzia kesi ya ndumbaro akamalizia kwa kusema kuwa "Furaha ya mwenye meno mwenye mapengo hacheki "huyu jamaa yupo creative sana, siku ya birthday yake kazua mpya kwa kuleta keki ya Viazi akiiita ndio ya wahenga. Inatakiwa kuwa na watu kama hawa wabunifu wanafanya habari inakuwa inavutia.
https://www.facebook.com/video.php?v=1735361483145562