Mtangazaji wa ITV Mabere Makubi usiangaike na ajira ITV, wiki ijayo utapata ajira nje nakamilisha mazungumzo

Are you trashing her qualifications because of a one word"MISTAKE"?
No, she is useless and does not deserve to be called a journalist! She has been doing these blunders repeatedly and it seems she is not serious with her career!
She better go back to school and equip herself instead of vibrating in the public domain wildly!
 

You are entitled to your opinion ; in this case you overtly subjective!
 
Pascal Mayalla and other like minded Tanzania Journalists you have something very important to do in your industry! CAPACITY BUILDING & MENTORSHIP!

Tanzania has got very poor and worthless media industry particularly on Journalists!

I sometimes lough at myself after having listen from Prof.Mutahi Ngunyi and his "kids" at their Fort Hall School of Good Governance or presenters from Citizen TV, K24 ,NTV etc and compare to Journalists here at Home!

It will take us several decades to reach where our fellow Kenyans are today!

These poor Journalists we have here in Tanzania are the ones who entertain these short sighted politicians in our political arena!

Pascal Mayalla, Deodatus Balile,Manyerere Jackton and other serious Journalists you have to do something if you want this industry to mean something in this Country!!
 
Mzee Mayalla, nasikia hata marehemu Rehema Mwakangale alikuwa anapiga deiwaka kama kondakta wa daladala pale ITV.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waandishi wa habari Tz,Bongo Muvi,,na waimba taarabu wote kuanza Diamond mpk Homorapa...Nyie mkipata na msiba msitushirikishe raia wema...Pambaneni na hali zenu...

Ni watu wa hovyo Sana hapa Tz Zama hizi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kazi nyingine jameni, acheni tuu, tusiseme!. Hii ni kazi ya wito, tunaifanya kwa mapenzi tuu. Mifano mimi ni Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea.
P
Kwan hamuajiriwi huko vituoni?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu cna khaaaah.
 

Nashukuru msomi unayedhani Kufanya kazi ya mama ntilie ni kukosa elimu. Ubarikiwe Sana, unaitendea kazi elimu Yako.

Mimi elimu yangu inanifunza matamshi utokana na makuzi, lakini pia kifaa kinachotumika kuandika kinaweza kuwa na lugha yake.

Hapa hakuna anayeleta mada Kwa lengo la editing, tunaleta ujumbe tukimaliza tunapokea maoni Kwa lengo la kuboresha.

All in all umefanya kazi nzuri; Hongera Sana msomi
 
Azam chukueni kuchwa hicho asaidie kutuletea habari toka mwanza maana nyie kila kukicha report zenu ni Dodoma na Tabora tu
 
It's very painful!, most media correspondences ni deiwaka!.
Hili nililijua baada ya kifo cha Daudi Mwangosi wa Channel Ten.

P
So sad, ila uhuru wa habari tunasema umerudi but wahariri kwenye hizi media zetu Kuna habari hawataki ziona au zisikia hatujui ni agizo au vipi

Kuna nyuzi nilileta hapa kuhusu raia wa kigeni hususani kutoka ASIA na NIGERIA kujazana mitaani kwetu uku nakufanya shughuli ambazo wazawa wanaweza nikahoji maafisa wa uhamiaji mikoa na wilaya je hawajui hawa watu mbona wamepanga mitaani kwetu na wengine wanaenda kufanya biashara kwenye tasisi za umma mfano kuuza vyombo vya majumbani aisee huo Uzi sijui umepotelea wapi

Siye tunajua impact ya JF ukitupia kitu humu wahusika mpaka maboss inawafikia direct ajabu Uzi huo haupo ndio unawaza hii imekaaje kwenye tasnia ya habari kwa sasa tumerudi kwenye kusifu na kuabudu kimya kimya bahasha zinatembea au vipi
 
Wewe mjinga sana umesoma wapi zaidi ya hapa Bongo?
 
Kuna baadhi ya mods wa hovyo Sana ....itakuwa waliuchinja huo Uzi...Tasnia ya habari kwa hapa Tz Ni moja ya Tasnia za hovyo...

Habari ikiwa ya CCM wanajua kuipaka rangi na nakshi za kipemba..Sinunui Gazeti Wala kusikiliza Redio Tena
 
Ilikuaje Mkuu huo Msiba Wake..? Maana Huyu alikuwa Mwanahabari Mkubwa Sana.Embu dokeza Kwa faida Ya Wengi.
Sikuwa najua kuwa Alifariki..!
Sio vizuri kabisa kutoa siri za misiba ya watu, marehemu waachwe wapumzike kwa amani. Kwa vile hukuwa na taarifa, karibu mitaa hii

Na mimi pia nilikuwepo nikafanya yangu
P
 
Hii ndio naisikia leo ,,,kuwa mfuasi wa Mungu na Mfuasi wa Mila....hii baghosha kabisa.
 
Kwa hiyo iTV nayo ishakuwa kama TBC na Channel Ten?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…