Mtangazaji wa KISS FM Mwanza ni she au he?

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
Naomba kujuzwa hivi huyu mtangazaji wa KISS FM Mwanza ni wa kike au wa kiume au wa jinsia Boflo maana nashindwa kuelewa maana sauti yake ni ya ki-SHE kabisa japo nasikia jina lake anaitwa SHAABAN ABOUBAKAR
 
Samahani mkuu...

Nahisi utakuwa unasikia vibaya hilo jina, Ni Sherbanu Aboubakary ni mdada tena mke wa mtu. Hebu mtake radhi haraka!
 

Thanks napenda sauti yake lakini kwa kuwa una uhakika kwamba hiyo ndio marital status yake basi niinshie hapa naogopa kumwagiwa maji ya moto. Natamani mtu mwenye picha angeiweka hapa kwa nia nzuiri tu if possible.
 
Thanks napenda sauti yake lakini kwa kuwa una uhakika kwamba hiyo ndio marital status yake basi niinshie hapa naogopa kumwagiwa maji ya moto. Natamani mtu mwenye picha angeiweka hapa kwa nia nzuiri tu if possible.

Yes, nina uhakika 200%, she is married..... Ninamfahamu zaidi ya unavyofikiria.
 
Weweeeeee...... Tena usije ukamsogelea, utang'olewa kucha na meno bila ganzi!
CHarminglady wengineo tuko addicted na mambo ya hatari ,hebu tufahamishe zaidi kuhusu mtu huyu we usijali kucha zitaota na meno yatafanyiwa implant at no time!
 
CHarminglady wengineo tuko addicted na mambo ya hatari ,hebu tufahamishe zaidi kuhusu mtu huyu we usijali kucha zitaota na meno yatafanyiwa implant at no time!

Ukitaka kumfahamu we nenda pale Sahara Media utapata CV yake yote!!
 
Tajeni majina yenu, vizuri, msije leta matatizo.
 
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…