Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,279
- 1,772
sio kila post lazima uchangie...
Sasa huyo Binti hapo kaiba nini mpaka uje na Kanga Begani na kuandika matapishi ulioandika hayo?
Hakika wewe ni mpambanaji...
This is usefull post katika hii thread...
sio kila post lazima uchangie...
Sasa huyo Binti hapo kaiba nini mpaka uje na Kanga Begani na kuandika matapishi ulioandika hayo?
Mkuu Heroin kilo 5.4 ni milioni 13???
Nakuheshimu mkuu.
Asante mkuu kwa kunisaidia kwa hilo huyo Gang Chomba kweli ni mbulula halafu nimeamini humu jamvini kuna watu ambao ni Uneducated kabisa sasa yeye alitaka niandike nini? ningekuwa Mod ningeku deleteNi mawazo yake, na ana haki ya kutoa yaliyo moyoni kwake. Ww unakerwa na nini???
Inaonekana una mfahamu na mlikuwa wote acha ushamba mkuu halafu nimeona comments zako nyingi lazima wanajamvi wakuponde kwa kuandika utumbo jirekebishe! kama huyo bint ni ndugu yako mwambie amekula foma na atajamba povusio kila post lazima uchangie...
Sasa huyo Binti hapo kaiba nini mpaka uje na Kanga Begani na kuandika matapishi ulioandika hayo?
Najaribu kumsaka kwa google lakini simpati lakini inaonesha amemaliza sekondari 2004 Kibosho girl na kupta daraja la tatu
0086
F
SARAPHIA P SHIRIMA
25
III
CIV-D HIS-D GEO-F BIB-C KIS-C ENG-C LIT-D BIO-D BAS-F
chanzo
http://www.tanzania.go.tz/matokeo2004/Olev2004/S0205.htm
Kweli umemkinai 'kibonde'itakuwa clouds
itakuwa clouds
Pole yake,,,,ila naskia watu wa powder wana mtandao mpana sana watamtoa nyavuni,,,,,,kenya ni afrika tu rushwa iko palepale
Huyu anapenda kwenda anga za juu, atakuwa rubani tu!Najaribu kumsaka kwa google lakini simpati lakini inaonesha amemaliza sekondari 2004 Kibosho girl na kupta daraja la tatu
0086
F
SARAPHIA P SHIRIMA
25
III
CIV-D HIS-D GEO-F BIB-C KIS-C ENG-C LIT-D BIO-D BAS-F
chanzo
http://www.tanzania.go.tz/matokeo2004/Olev2004/S0205.htm
Huyu anapenda kwenda anga za juu, atakuwa rubani tu!Najaribu kumsaka kwa google lakini simpati lakini inaonesha amemaliza sekondari 2004 Kibosho girl na kupta daraja la tatu
0086
F
SARAPHIA P SHIRIMA
25
III
CIV-D HIS-D GEO-F BIB-C KIS-C ENG-C LIT-D BIO-D BAS-F
chanzo
http://www.tanzania.go.tz/matokeo2004/Olev2004/S0205.htm
Nami nime mgoogle hayo ni matokeo ya kidato cha sita mnaomfahamu tupieni picha zake tumthaminishe
[TABLE="width: 750"]
[TR]
[TD]0589[/TD]
[TD]F[/TD]
[TD]SARAPHIA P SHIRIMA [/TD]
[TD]18[/TD]
[TD]IV[/TD]
[TD]GENERAL-S HISTORY-S KISWAHI-S ENGLISH-S [/TD]
[/TR]
[/TABLE]