Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika kristo
Mimi kama msukuma napingana mambo kaza wa kaza juu ya Ngoma ya oten ya nicheki, cha kwanza Ngoma ni kali sana huo ndo ukweli, sema mtani wangu huyu alizidisha uongo uongo mwingi sana
Jamaa anasifia mitaa ya upanga ni mitaa ya kisure , ukweli ni kwamba upanga siyo mtaa wa kisure bali ni uswahilini kabisa na kunanuka mikojo ya wahindi kila eneo
Kamba nyingine ambayo alitupiga huyu mtani wangu ni kudai mademu wa kiarabu na wa kizungu ni wazuri na watamu kuliko mademu wa kisukuma huo ni uongo wa wazi wazi
Demu mzungu kama Sarah wa harmonize huwez kumuweka kundi moja na mademu wa kisukuma kama akina kajala masanja huo ni uongo mkubwa sana
Hakuna demu yeyeto wa kiarabu ambaye anaweza ingia hata robo ya mademu ya kisukuma kama akina frola mbasha na akina vic kamata huo ni uongo mkubwa
Mademu wa kisukuma ni watamu sana huwezi linganisha na mademu wa kihindi au kizungu
Alafu kujidai mfukoni una elef hamsin, aliyekwambia elf hamsin nayo ni hela ni nani huyo?
Yote yote mtani wangu Ngoma yako ni kali sana
Nanukuu nicheki viko vp na masta kibao wananyosha vidole kukili wangu ufanisi , napenda sana pombe napenda sana mademu , napenda sana kujirusha kifupi ni sitarehe
LONDON BOY
Mimi kama msukuma napingana mambo kaza wa kaza juu ya Ngoma ya oten ya nicheki, cha kwanza Ngoma ni kali sana huo ndo ukweli, sema mtani wangu huyu alizidisha uongo uongo mwingi sana
Jamaa anasifia mitaa ya upanga ni mitaa ya kisure , ukweli ni kwamba upanga siyo mtaa wa kisure bali ni uswahilini kabisa na kunanuka mikojo ya wahindi kila eneo
Kamba nyingine ambayo alitupiga huyu mtani wangu ni kudai mademu wa kiarabu na wa kizungu ni wazuri na watamu kuliko mademu wa kisukuma huo ni uongo wa wazi wazi
Demu mzungu kama Sarah wa harmonize huwez kumuweka kundi moja na mademu wa kisukuma kama akina kajala masanja huo ni uongo mkubwa sana
Hakuna demu yeyeto wa kiarabu ambaye anaweza ingia hata robo ya mademu ya kisukuma kama akina frola mbasha na akina vic kamata huo ni uongo mkubwa
Mademu wa kisukuma ni watamu sana huwezi linganisha na mademu wa kihindi au kizungu
Alafu kujidai mfukoni una elef hamsin, aliyekwambia elf hamsin nayo ni hela ni nani huyo?
Yote yote mtani wangu Ngoma yako ni kali sana
Nanukuu nicheki viko vp na masta kibao wananyosha vidole kukili wangu ufanisi , napenda sana pombe napenda sana mademu , napenda sana kujirusha kifupi ni sitarehe
LONDON BOY