Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
[TABLE="width: 491"]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Mtanzania aacha kukalia uchumi[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: #E1E1E1"]
[TD]
[/TD]
[TD]
Andrew Mbogoma Ngiri, mtanzania mwenye wake watatu na watoto 34 ameamua kuacha kuukalia uchumi na kuutumia pale alipouza ng'ombe wake 250 na kujipatia mamilioni ya fedha yaliyomwezesha kujenga nyumba ya kisasa ya kulala wageni yenye vyumba 14.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Ngiri anaishi katika Mtimbira Ulanga Morogoro. Hatua hiyo ni mkakati maalumu wa kupunguza mifugo (uchumi) aliyokuwa nayo hapo awali iliyofikia zaidi ya elfu moja na sasa kubakiwa na ng'ombe 700 ambapo pia anakusudia kupunguza tena ili kununua trekta kwa ajili ya shughuli za kilimo.
Bwana huyo alifanya uamuzi huo baada ya kupata elimu iliyomtaka abadilike kutoka ufugaji wa kuhamahama na kuwa wa kisasa akiwa na mifugo michache zaidi yenye tija bila kuchafua mazingira. Kwa mujibu wa mfugaji huyo, elimu hiyo iliyotolewa na Ofisa wa Mifugo wa Wilaya ya Ulanga, Dk Frederick Sagamiko, imembadilisha kabisa.
Mfugaji Andrew amenukuliwa na vyombo vya habari akisema "Mimi sijasoma na wala umri wangu siufahamu, lakini elimu niliyopata imezaa matunda kwangu na wenzangu wa kabila la Wasukuma, wameitikia mwito huu na sasa wamepunguza ng'ombe na wengine wapo kwenye mchakato wa kupunguza," Elimu anayokusudianhapa ni ile ya kujua namna ya kuutumia uchumi na kuwa mfugaji mwenye tija sio kujaza ming`ombe huku unahesabiwa masikini.
Pia alisema kutokana na elimu aliyoipata, ameanza mkakati wa kutumia mifugo aliyonayo kuweza kuwasomesha watoto wake kuanzia elimu ya Msingi hadi Vyuo Vikuu, ili siku za usoni waweze kujitengemea wenyewe. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
chanzo.Mtanzania aacha kukalia uchumi
Bravo umebadilisha biashara nakutakia kila la kheri inshallah.
[TR]
[TD="colspan: 3"]Mtanzania aacha kukalia uchumi[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: #E1E1E1"]
[TD]
[TD]
Andrew Mbogoma Ngiri, mtanzania mwenye wake watatu na watoto 34 ameamua kuacha kuukalia uchumi na kuutumia pale alipouza ng'ombe wake 250 na kujipatia mamilioni ya fedha yaliyomwezesha kujenga nyumba ya kisasa ya kulala wageni yenye vyumba 14.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Ngiri anaishi katika Mtimbira Ulanga Morogoro. Hatua hiyo ni mkakati maalumu wa kupunguza mifugo (uchumi) aliyokuwa nayo hapo awali iliyofikia zaidi ya elfu moja na sasa kubakiwa na ng'ombe 700 ambapo pia anakusudia kupunguza tena ili kununua trekta kwa ajili ya shughuli za kilimo.
Bwana huyo alifanya uamuzi huo baada ya kupata elimu iliyomtaka abadilike kutoka ufugaji wa kuhamahama na kuwa wa kisasa akiwa na mifugo michache zaidi yenye tija bila kuchafua mazingira. Kwa mujibu wa mfugaji huyo, elimu hiyo iliyotolewa na Ofisa wa Mifugo wa Wilaya ya Ulanga, Dk Frederick Sagamiko, imembadilisha kabisa.
Mfugaji Andrew amenukuliwa na vyombo vya habari akisema "Mimi sijasoma na wala umri wangu siufahamu, lakini elimu niliyopata imezaa matunda kwangu na wenzangu wa kabila la Wasukuma, wameitikia mwito huu na sasa wamepunguza ng'ombe na wengine wapo kwenye mchakato wa kupunguza," Elimu anayokusudianhapa ni ile ya kujua namna ya kuutumia uchumi na kuwa mfugaji mwenye tija sio kujaza ming`ombe huku unahesabiwa masikini.
Pia alisema kutokana na elimu aliyoipata, ameanza mkakati wa kutumia mifugo aliyonayo kuweza kuwasomesha watoto wake kuanzia elimu ya Msingi hadi Vyuo Vikuu, ili siku za usoni waweze kujitengemea wenyewe. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3, align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
chanzo.Mtanzania aacha kukalia uchumi
Bravo umebadilisha biashara nakutakia kila la kheri inshallah.