Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pongezi kwa ubalozi wetu nchini ufaransa kwa kuonyesha jitihada ya kutoa taarifa kwa ndugu na jamaa wa marehemu.
hata mke wake mwenyewe hajawahi kukanusha sasa wewe ni nani?!!Passport yake ina taarifa zote muhimu, Wazazi,alikozaliwa so wasituchoshe,, MBOWE SIO GAIDI
Mimi ni mmeohata mke wake mwenyewe hajawahi kukanusha sasa wewe ni nani?!!
Huyo hakuwa na passport ya Tanzania. Alafu u balozi umekwambia huyo jamaa alikuwa 'Home-less'. Alikuwa akiishi mitaani.Passport yake ina taarifa zote muhimu, Wazazi,alikozaliwa so wasituchoshe,, MBOWE SIO GAIDI
Ok kama hakuwa na passport ya tanzania basi alibadili uraia na sisi tanzania haturuhusu uraia pacha so wazike mungu ni wetu soteHuyo hakuwa na passport ya Tanzania. Alafu u balozi umekwambia huyo jamaa alikuwa 'Home-less'. Alikuwa akiishi mitaani.