TANZIA Mtanzania afariki Ufaransa, msaada unahitajika ili ndugu wapate taarifa

hata mke wake mwenyewe hajawahi kukanusha sasa wewe ni nani?!!
Mke wa huyo jamaa aliyefariki Ufaransa? Kumbe unaijua famili yake huku watu wanahangaika kutafuta ndugu!
 
Mimi hapa mjomba wangu huyo!!! natuma ndege ya kukodi haraka sana!! kutegemeana na michango ntakayopata!! sawa jamani??? ila mnisaidie kwa walio guswa na Msiba huu!!! Naomba mni changie hapa hapa! In box ukija nakupa number!
 
So alizamia KWA Njia Gani? Tunataka maelezo yaliyojitosheleza tumechoka watanzania kufanywa empty mind kama alizamia zamani akiwa kijana mpaka now 61 hakuwa anatafuta ndugu na jamaa zake au? Tunataka taarifa kamili
Ndugu ni wanoko wanoko sana!! kuliko watu baki!! kweli kabisaa!! km mjuavyo!! walimsema sana kwa ubaya ubaya hivi!! wakajifanya hawamtaki ajili ya shule yake kuubwa! kadri alivo fanikiwa wakajifanya kumtenga!! sasa yamemkuta ndo ivo sasa!

Nawashauri vijana!! ndugu ni wanoko sana!!! aliyesema mchawi ndugu hakukosea!! alikuwa na akili sana...sijui nani huyo??? huwezi amini kunawengine walikuwa wanatabasamu kabisaa mbele yangu!! nikatia Heee!!!eeeee!!
 
Bana weee!! yote kwa yote weee jilipue tu! litakalo kuwa na liwe!! ukifa ukizikwa ulaya, sijui USA shega tu kwa nini ulie lie? wkt umeamua kutafuta maisha? Ardhi ni ardhi tu!! hata ukizikwa Moshi haisaidii! wewe kufufuka!!

Babu wababu wababu unajua makaburi yao? Mbona wahindi walizikwa hapo bongo miaka dahari huko nyuma kwani maisha yalisimama? leteni ichango yenu!!

unaweza kukomaa uzikwe kwenu kaburi likachimbwa kwa chuki ukabakia juujuu! na ukaliwa na mbwa vile vile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…