Mtanzania ahukumiwa kifungo cha miaka 110 Kenya kwa tuhuma za kigaidi

We mbulula kweli! Kuna wachawi kama Kenya? Sema nyie wote mnaita waganga hamuezi tofautisha mchawi na mganga
Kenya na Somalia hakuna tabia ya kuua albinos ili ufanye uchawi ...lakini madaktari wa kienyeji mitishamba wapo.Sipendi kusema "mganga" sababu Mganga ni jina halisi la watu wengi kutoka jamii ya Taita.
 
ACHA MIKWARA WW zipo taratibu za kumsachi mtu mshukiwa wa madawa ya kulevya lkn sio kumwambia ajisaidie mbele za watu .......
 
Ngoja waje wafia dini kukupinga kuwa hakuna magaidi duniani toka TZ

Kwani yule Ghailani wa mabomu ya 1998 alitoka wapi? Haaa! Zanzibar na Zenj ni Tz! Je ! na Mberesero aliyeua wanafunzi 138 wa chuo kikuu cha Garissa ambaye alikimbia makande ya Upareni siyo Mtanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…