Mtanzania akamatwa uholanzi

Yona F. Maro

R I P
Joined
Nov 2, 2006
Posts
4,201
Reaction score
236
Habari zilizonifikia sasa hivi zinasema mtanzania mmoja jina sijafanikiwa kulipata anashikiliwa na mamlaka za uwanja wa ndege wa amsterdam nchini uholanzi kwa tuhuma za kutengeneza tiketi bandia za kusafiria

mtanzania huyo wa makamo ya kati mwenye familia yake hapa dar es salaam amekuwa anatafutwa na mamlaka nyingi za uwanja wa ndege kwa biashara zake hizo za kuuza tiketi bandia watu pamoja na yeye mwenyewe kuzitumia

taarifa zinasema ametakiwa alipe gharama fulani ili aweze kupewa dhamana huko huko uholanzi ili apelekwe katika nchi zingine anazotafutwa kwa tuhuma hizo hizo
 
Toa habari zenye uhakika na siyo za kubahatisha
 
Wabongo siku hizi wamekuwa kama wanaigeria
 
sasa ya nini kama unaandika wakati humjui hata jina la kampuni yake??
na wee mbona ni kinara wa kuuza laptop za wizi!
 
sasa ya nini kama unaandika wakati humjui hata jina la kampuni yake??
na wee mbona ni kinara wa kuuza laptop za wizi!

Majina si lazima sana kama ukipata clue ni meseji tosha, mathalani ukiambiwa jihadhari na matapeli sidhani kama utataka jina fulani hapo bali utakuwa mwangalifu kwa kila mtu. Habari ndiyo hiyooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…