Anna Nkya
Member
- Oct 21, 2021
- 69
- 341
Nemes Tarimo alienda Urusi kusoma mnamo mwaka 2020. Akiwa huko Urusi, mwezi Machi 2022 alikamatwa kwa uhalifu akahukumiwa miaka 7 jela.
Warusi wakatoa ofa kwa wafungwa kwamba ukienda vitani, baada ya vita utapewa fedha nyingi na utapata uhuru. Nemes Tarimo akajiunga na kundi la Wagner Group akaenda vitani na kufia huko.
Leo (Januari 24,2023), mwili wake unasafirishwa kutoka Urusi kuja Tanzania.
Najiuliza, hivi ni sahihi kusema amekuwa kishujaa? (kwa maana kwamba ameenda ugenini, akapmbana na bahati mbaya akaangukia jela, kisha akasema aende vitani tena kupambana hadi umauti ulipomfika...)
Warusi wakatoa ofa kwa wafungwa kwamba ukienda vitani, baada ya vita utapewa fedha nyingi na utapata uhuru. Nemes Tarimo akajiunga na kundi la Wagner Group akaenda vitani na kufia huko.
Leo (Januari 24,2023), mwili wake unasafirishwa kutoka Urusi kuja Tanzania.
Najiuliza, hivi ni sahihi kusema amekuwa kishujaa? (kwa maana kwamba ameenda ugenini, akapmbana na bahati mbaya akaangukia jela, kisha akasema aende vitani tena kupambana hadi umauti ulipomfika...)