๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—ผ๐—ผ๐—ป๐—ฎ

๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—ผ๐—ผ๐—ป๐—ฎ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—ผ๐—ผ๐—ป๐—ฎ

Mtanzania Ai.png


Hakika Tanzania tunaendelea kuwa imara kwenye sekta ya Teknolojia Kila siku zinavyozidi kwenda vijana wengi wanaibuka na kuonyesha ushindani kwenye masoko ya Dunia.

Kutana na mtanzania aliyeunda Teknolojia ya akili bandia inaitwa Nobe AI Yenye uwezo wa kufanya kazi mbalimbali na kukupa majibu ya maswali mengi utayomuuliza kama Mwanadamu.

images (13).jpeg


Anaitwa Noel Sebastian ni mtanzania akishirikiana timu yake ya Nobestudy waliweza kufanikiwa kuunda akili bandia jukwaa la kibinifu iiliyoundwa ili kutoa elimu na msaada kwa wanafunzi ulimwenguni kote.

Imeundwa kwa Teknolojia mpya inajulikana kama Zero Short Spiking huweza kusaidia kwenye kuunda mifumo ya akili bandia yenye uwezo wa hali ya juu inayoweza kubadilika kulingana na mazingira na mahitaji ya watu.

Angalia video yake ๐Ÿ‘‡



Teknolojia hii huweza kumsaidia Mtu asiyeona kuweza kwenda mahali kupitia sauti atayosikia kwenye huo mfumo kupitia simu yako na kukusaidia kufika kwa usalama eneo unalokwenda.

images (12).jpeg


Pia inawasaidia kwenye kusoma kubwa zaidi ni kumwambia Mtu asiyeona kuhusu hatari zilizopo mbele yake wakati anatembea.

Credit to: #TbcOne , #bongotech255
 
๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—ผ๐—ผ๐—ป๐—ฎ

View attachment 3242053

Hakika Tanzania tunaendelea kuwa imara kwenye sekta ya Teknolojia Kila siku zinavyozidi kwenda vijana wengi wanaibuka na kuonyesha ushindani kwenye masoko ya Dunia.

Kutana na mtanzania aliyeunda Teknolojia ya akili bandia inaitwa Nobe AI Yenye uwezo wa kufanya kazi mbalimbali na kukupa majibu ya maswali mengi utayomuuliza kama Mwanadamu.

View attachment 3242055

Anaitwa Noel Sebastian ni mtanzania akishirikiana timu yake ya Nobestudy waliweza kufanikiwa kuunda akili bandia jukwaa la kibinifu iiliyoundwa ili kutoa elimu na msaada kwa wanafunzi ulimwenguni kote.

Imeundwa kwa Teknolojia mpya inajulikana kama Zero Short Spiking huweza kusaidia kwenye kuunda mifumo ya akili bandia yenye uwezo wa hali ya juu inayoweza kubadilika kulingana na mazingira na mahitaji ya watu.

Angalia video yake ๐Ÿ‘‡

View attachment 3242056

Teknolojia hii huweza kumsaidia Mtu asiyeona kuweza kwenda mahali kupitia sauti atayosikia kwenye huo mfumo kupitia simu yako na kukusaidia kufika kwa usalama eneo unalokwenda.

View attachment 3242057

Pia inawasaidia kwenye kusoma kubwa zaidi ni kumwambia Mtu asiyeona kuhusu hatari zilizopo mbele yake wakati anatembea.

Credit to: #TbcOne , #bongotech255
Akija tanzania atakamatwa na kuswetwa ndani anahatarisha amani ya nchi.
Hii ni tanzania ninayoijua mimi
 
๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—ผ๐—ผ๐—ป๐—ฎ

View attachment 3242053

Hakika Tanzania tunaendelea kuwa imara kwenye sekta ya Teknolojia Kila siku zinavyozidi kwenda vijana wengi wanaibuka na kuonyesha ushindani kwenye masoko ya Dunia.

Kutana na mtanzania aliyeunda Teknolojia ya akili bandia inaitwa Nobe AI Yenye uwezo wa kufanya kazi mbalimbali na kukupa majibu ya maswali mengi utayomuuliza kama Mwanadamu.

View attachment 3242055

Anaitwa Noel Sebastian ni mtanzania akishirikiana timu yake ya Nobestudy waliweza kufanikiwa kuunda akili bandia jukwaa la kibinifu iiliyoundwa ili kutoa elimu na msaada kwa wanafunzi ulimwenguni kote.

Imeundwa kwa Teknolojia mpya inajulikana kama Zero Short Spiking huweza kusaidia kwenye kuunda mifumo ya akili bandia yenye uwezo wa hali ya juu inayoweza kubadilika kulingana na mazingira na mahitaji ya watu.

Angalia video yake ๐Ÿ‘‡

View attachment 3242056

Teknolojia hii huweza kumsaidia Mtu asiyeona kuweza kwenda mahali kupitia sauti atayosikia kwenye huo mfumo kupitia simu yako na kukusaidia kufika kwa usalama eneo unalokwenda.

View attachment 3242057

Pia inawasaidia kwenye kusoma kubwa zaidi ni kumwambia Mtu asiyeona kuhusu hatari zilizopo mbele yake wakati anatembea.

Credit to: #TbcOne , #bongotech255
Asante kwa taarifa Mkuu
 
Kazi iliyopo mbele, ni kugeuza huo ujuzi kuwa pesa.
Ni kweli, ila angeweza angefanya lobbying angepata wateja wa Serikali kupitia Wizara ya Ridhiwani JK pamoja na wateja binafsi wenye hayo matatizo

Muhimu aifanye Kwa gharama nafuu tu
 
Kibiashara haitamlipa. Wasioona wanahitaji misaada sana. Nimewahi kuwa na wazo la kuunda roboti saidizi la kuvaa mkononi, nililitupilia mbali hilo wazo maana unahitaji mambo mengi kujenga huo mfumo halafu sokoni wahitaji ni watu wa msaada tu.
Idea ni kubwa sana hasa ikiu ganishwa na AI za kisasa ila lipo kwenye makaratasi.
Labda nilifufue niwauzie wazo wazungu, kibongo bongo bora ulime matikiti.
 
Ni kama yule mkenya na Robot hand innovation, yaani kuja kuunda ule mkono uwe kibiashara ni ngumu sana.
 
Hongera sana kwake! Amejitahidi pa kubwa aendelee na research kuongeza zaidi ya hapo ikiwezekana AI iweze kukadiria umbali wa kila kitu kilichopo mbele ya kipofu ili aweze kujua kwa usahihi hatari iliyopo mbele yake.
Pia serikali kupitia wizara ya Sayansi na Technologia itoe support kwa wabunifu kama hawa ili kuongeza na kuboresha bunifu nyingi zaidi.
 
Back
Top Bottom