Mtanzania, Alphonce Simbu ashika nafasi ya tatu Marathon IAAF LONDON

Nimemsikiliza leo huyu Simbu,jamaa anajitambua na atafika mbali sana.
 
Ameweza kwa juhud binafs jamaa anajituma mno...mazoez alifanyia Arusha

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Siyo kweli,RT wamefanya kazi sana chini ya Mtaka RC wa Simiyu,Gidabudayi etc.DSTV ndo wadhamini wake hata jezi zake zna nembo ya dstv.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hukunielewa hebu niambie sera yetu ya michezo inasemaje? Je kama taifa tuna vision yoyote ? Let's say vision 2020?
Je tuna camps na vyuo vingapi vya michezo? Je tuna maandalizi yoyote? Je Kama tungesema tununue bombadia mbili kwanza na pesa nyingine tuwekeze kwenye michezo ingekuwaje?
Kama taifa hatujaipa michezo umuhimu wala kipaumbele.... Hao DSTV wako kwa ajili ya maslahi yao kibiashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sikutaka kuongelea mambo ya sera na mipango ya nchi kwa ujumla,nilitaka kuonesha ni kwa namna gani nyuma Simbu kulifanyika jitihada flani.Kuhusu DSTV,ni mdhamini na hata hao wengine wanadhaminiwa na Nike,Puma nk kama dstv wapo kibiashara na hao wengine wako kibiashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hapa atajipatia kama shilingi ngapi(hela)

Sent using Jamii Forums mobile app
More than 7 million dollars will be on offer in London. A total of US$ 7,344,000 in prize money will be paid by the IAAF in London as follows:

Individual Events
Gold: US$ 60,000.
Silver: US$ 30,000.
Bronze: US$ 20,000.
fourth place: US$ 15,000.
fifth place: US$ 10,000.
sixth place: US$ 6,000.
seventh place: US$ 5,000.
eighth place: US$ 4,000.

Relays (per team)
Gold: US$ 80,000.
Silver: US$ 40,000.
Bronze: US$ 20,000.
fourth place: US$ 16,000.
fifth place: US$ 12,000.
sixth place: US$ 8,000.
seventh place: US$ 6,000.
eighth place: US$ 4,000.

Unaweza kusoma zaidi hapo chini

World Record Award of US$ 100,000 on offer at IAAF World Championships in London - SportsNewsIRELAND
 
kidogokidogo tunawanyatia
 
Atleast wenye riadha wanatuokoa maana kwenye Mpira sijui tumerogwa na nani, uwekezaji mwingi na kipaumbele wakapewa lakini wanatuangusha tu hakuna hatua tunayofikia kama tumestack tu
 
Atleast Jamaa kapata cha kufutia jasho nadhani hiyo ni motivation tosha kwa vijana wa kitanzania ambao wangependelea kuwa wanariadha jamaa anatuwakilisha vyema kabisa
 
Tatizo ufadhili ukija wale akina Filbert Bay na genge lake wanazipiga halafu kwenye mashindano wanapeleka watu kwa kujuana mi nadhani ni muda muafaka sasa wale jamaa waondoke au bodi ile ivunjwe waletwe watu wapya ambao watakuwa wachapa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…