Kuhani,
Asante kwa kunifariji mkuu mwenzangu.
Kwa kweli ukijumuisha ile ishu ya Walter na fiance
wake pamoja na hii, basi utaelewa why I have a heavy
heart.I cried for both these brothers coz I just got
overwhelmed asking myself why us?....Hali ya ukiwa ni
ngumu na samtaimu inakufanya ukate tamaa tu.
These senseless deaths have left me even doubting the
purpose of existence bearing in mind that these individuals
were the coolest chaps we had around here.
People going about their business doing everything right kisha
the cruel hand of death comes and scoops them from our midst.
Meanwhile sio kwamba naikosoa kazi ya mungu, lakini jamani.....?