Mtanzania apata kichapo ya mbwa

Afu kemo umekosea mkuu.Kwenye kichwa cha mada yako inastahili iwe ...kichapo cha mbwa,si...ya mbwa.Rekebisha jombaa.Shukran.
 
Wakenya wanapenda kujulikana ni koloni la waingereza kwa sababu wao kuongea lugha ya mkoloni ndio wanaona kuwa na akili kubwa.

Wakati huku kwetu tulikataa kuonekana bado watumwa kwa kutumia lugha za hao wageni/wakoloni.
 
Mwanzo niliposikia Wakenya huchapwa makofi na wake zao, nilidhani hao ni wamama waonevu, lkn sasa nimeelewa. Wana umbea sana, yaani midomo chuku kama mama wa kisomali.
Mama wa kisomali eti!Staki ugomvi aisee.Mi mi mi mi mi sipo!🙂
 
duh! hili bango si la nchi hii "Nadhani huna ubongo..wazazi walidhani eti
walikuzaa kumbe walitoa
maradhi tumboni."
 
"Ustadhi Rogo: Nadhani huna ubongo..wazazi walidhani eti walikuzaa kumbe walitoa maradhi tumboni."

 
Mwanzo niliposikia Wakenya huchapwa makofi na wake zao, nilidhani hao ni wamama waonevu, lkn sasa nimeelewa. Wana umbea sana, yaani midomo chuku kama mama wa kisomali.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…