Mtanzania ashinda mechi judo kwenye Olimpiki

Mtanzania ashinda mechi judo kwenye Olimpiki

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Mtanzania Andrew Thomas Mlugu {uzito wa 73kg} ashinda mpambano wa kwanza wa mchezo wa judo katika mashindano ya 33 ya olimpiki ya majira ya joto huko nchini paris baada ya kumtoa mpinzani wake William Tai Tin, kutoka nchini Samoa ambapo aliutawala mchezo mzima leo Julai29, 2024 .
Mlugu ndiye mwafrika wa kawanza kushindas mchezo huu katika awamu hii kati ya jumla ya waafrika wanne waliowahi kushiriki mchezo huo. akizungumza baada ya pambano hilo Mlugu amesema pamoja na kushinda mchezo huo, ameumia goti la lushoto. Hatahivyo amesema hatorudi nyuma bali ataendelea kupambana katika hatua inayofuata
 
Mtanzania Andrew Thomas Mlugu {uzito wa 73kg} ashinda mpambano wa kwanza wa mchezo wa judo katika mashindano ya 33 ya olimpiki ya majira ya joto huko nchini paris baada ya kumtoa mpinzani wake William Tai Tin, kutoka nchini Samoa ambapo aliutawala mchezo mzima leo Julai29, 2024 .
Mlugu ndiye mwafrika wa kawanza kushindas mchezo huu katika awamu hii kati ya jumla ya waafrika wanne waliowahi kushiriki mchezo huo. akizungumza baada ya pambano hilo Mlugu amesema pamoja na kushinda mchezo huo, ameumia goti la lushoto. Hatahivyo amesema hatorudi nyuma bali ataendelea kupambana katika hatua inayofuata
Bravo!
 
Back
Top Bottom