Mtanzania auawa kwa kupigwa risasi na Polisi wa Afrika ya Kusini

Mtanzania auawa kwa kupigwa risasi na Polisi wa Afrika ya Kusini

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
M-Tanzania Mkaazi wa Mjini Tanga auliwa kwa Kupigwa Risasi na Polisi wa Afrika ya kusini.

WhatsApp Image 2023-01-17 at 13.41.52.jpeg














 
Wasouth wanasahau Tanzania ilivyokua front line kupigania uhuru wao , wapiganaji na wanaharakati wa kisouth walipata kimbilio huku

ila pia hilo ni fundisho kwa wabongo ni mara ngapi wabongo wamechomwa moto huko south makosa hayajulikani , pia kuuawa kama huyo janja .

Jamani tutulie nchini kwetu , tutafute hela huku huku.

Kazi tu kupeleka udaga na gold ndo mnajua , , kufeni sasa mtuache na Tanzania yetu
 
Inasikitisha sana,hivi kwenye scenario kama hizi balozi zetu huwa zinasaidia kweli?.
 
Jau sana ndani ya week waTz wa 4 wamefariki kwa kupigwa risasi . Mpaka sasa kuja machafuko baadhi ya maeneo kati ya watz na polisi
 
Wasouth wanasahau Tanzania ilivyokua front line kupigania uhuru wao , wapiganaji na wanaharakati wa kisouth walipata kimbilio huku

ila pia hilo ni fundisho kwa wabongo ni mara ngapi wabongo wamechomwa moto huko south makosa hayajulikani , pia kuuawa kama huyo janja .

Jamani tutulie nchini kwetu , tutafute hela huku huku.

Kazi tu kupeleka udaga na gold ndo mnajua , , kufeni sasa mtuache na Tanzania yetu

Hayo mambo ya frontline ni ya kale, vijana wa leo kule South wanahangaika hawana ajira nchi imetamalaki maufisadi na vurugu halafu wewe uwaambie mambo ya mlipigana frontline....
 
Wasouth wanasahau Tanzania ilivyokua front line kupigania uhuru wao , wapiganaji na wanaharakati wa kisouth walipata kimbilio huku

ila pia hilo ni fundisho kwa wabongo ni mara ngapi wabongo wamechomwa moto huko south makosa hayajulikani , pia kuuawa kama huyo janja .

Jamani tutulie nchini kwetu , tutafute hela huku huku.

Kazi tu kupeleka udaga na gold ndo mnajua , , kufeni sasa mtuache na Tanzania yetu
Huo ndo utabaki kua wimbo wa kila siku, kusaidia mtu haihalalishe mtu kufanya uhalifu, mbona sisi masikini wa kupindukia wakati tulio wasaidia wako vizuri huo ndo ujinga wa wabongo, Tanzania ndo inaongeza katika kanda ya africa ya kusini kua na watu wajinga wenye elimu duni.
 
Huo ndo utabaki kua wimbo wa kila siku, kusaidia mtu haihalalishe mtu kufanya uhalifu, mbona sisi masikini wa kupindukia wakati tulio wasaidia wako vizuri huo ndo ujinga wa wabongo, Tanzania ndo inaongeza katika kanda ya africa ya kusini kua na watu wajinga wenye elimu duni.
Wasouth wameendelea wapii? Lengo la Madiba kuwabakisha makaburu inalijua ww.
Jivunie Tz yako ndugu
 
Back
Top Bottom