Mtanzania avunja rekodi kwenye mbio za Valencia Marathon

Mtanzania avunja rekodi kwenye mbio za Valencia Marathon

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Mtanzania avunja rekodi kwenye mbio za Valencia Marathon

Leo tarehe 4/12/2022, mtanzania Gabriel Geay (26) aweka rekodi mpya ya taifa kwa mbio za km 42 (Marathon) huko Valencia, Spain. Geay kamaliza mbio hizo akiwa wa pili kwa muda wa masaa 2:03:00 ambayo ni muda wake binafsi bora zaidi pia ikiwa ni rekodi mpya ya taifa.

Ikumbukwe rekodi iliyovunjwa ya muda wa masaa 2:04:55 iliwekwa na Gabriel Geay pia. Kavunja rekodi yake mwenyewe. Katika umri wake wa miaka 26 tayari Gabriel anashikilia rekodi za taifa kwa mbio za 15km, 20km, 21km (Half Marathon), 25km na 30km. Tukimtoa Mzee Filbert Bayi, huyu kijana ni mtanzania mwingine anayeshikilia rekodi nyingi kwenye riadha kitaifa.

Valencia Marathon haikuwa rahisi kwasababu mshindi Kelvin Kiptum kutoka Kenya naye kaweka rekodi mpya ya Valencia Marathon (course record) kwa muda wa masaa 2:01:53 ambapo kwa hapa duniani aliyemzidi ni mtu mmoja tu. Ambaye ni Eliud Kipchoge mwenye rekodi ya dunia ya masaa 2:01:39. Kwahiyo hata kijana wetu yuko jirani kabisa na rekodi ya dunia yeye akiwa namba 3 kidunia kwa mujibu wa shirikisho la riadha la dunia. Akikaza anaivunja. Link hii hapa orodha ya wakali wa Marathon duniani World Athletics | Marathon - men - senior - outdoor - 2022

Pamoja na medali ya fedha, kijana wetu atatia kibindoni zawadi ya Euro 45000 yaani kama Tsh 110,000,000/= ikiwa ni zawadi kwake. Wazazi msapoti vipaji hya watoto wenu. Kwenye vipaji kuna hela nyingi sana. Geay kapiga hiyo 110m leo lakini kumbukeni kijana ana mkataba na Adidas pia anashiriki mbio kubwa sehemu mbalimbali duniani. Isitoshe kwa kuwa kashakuwa supastaa atakuwa analipwa Appearance Fee kila akialikwa kushiriki. Yaani ana bonus nyingi tu. Inawezekana kwa kushinda hivyo leo akatengeneza hata 300m kwa leo tu.

Hapo chini ni matokeo ya mbio za Valencia Marathon.

1.Kelvin Kiptum 2:01:53 🇰🇪 CR

2.Gabriel Geay 2:03:00 🇹🇿 PB/NR

3.Alexander Mutiso 2:03:29 🇰🇪

4.Tamirat Tola 2:03:40 🇪🇹

5.Ozbilen Kigen 2:04:36 🇹🇷

6.Deso Chalu 2:04:56 🇪🇹

7.Mengesha Milkesa 2:05:29 🇪🇹

8.Ronald Korir 2:05:37 🇰🇪

9. Philemon Kiplimo 2:05:54 🇰🇪

10.Goitom Kifle 2:06:29 🇪🇷

Nimefurahishwa sana na ushindi huu. Namshukuru na kumpongeza mwenyekiti wa CCM Mama Samia kwa ushindi huu. Kwa uhamasishaji wake kijana kaenda kushinda. Nampongeza pia Gabriel Geay kwa ushindi huu. Namsihi aendelee kuishi maisha yake ya kawaida na kujiepusha na mambo ya kipuuzi kama walivyo vijana wengi maarufu. Hivi cocastic, mzabzab huyu kijana angekuwa mshenzi angetafuna bongo movie wangapi kwa mpunga anaotengeneza?
 

Attachments

  • 20221204_182043.jpg
    20221204_182043.jpg
    68.8 KB · Views: 6
  • FB_IMG_1670170304120.jpg
    FB_IMG_1670170304120.jpg
    69.3 KB · Views: 7
  • FB_IMG_1670170168769.jpg
    FB_IMG_1670170168769.jpg
    93.9 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221204-212219_Chrome.jpg
    Screenshot_20221204-212219_Chrome.jpg
    79.9 KB · Views: 8
Watu hawaelewi, matajiri wanatoa mabilioni kwenye mchezo ambao ulishatushinda
 
Hawa Wakenya wanakulaga nin pimbi hawa.
Uwekezaji uliofanyika Kenya sio poa. Wanariadha wengi ni matajri wakubwa wamatapakaa duniani hali inayofanya vijana wengi kupambana ya hela yote. Wale wanaokujaga Kili Marathon na kushinda ni ambao Kenya hawana ustaa wowote. Huko Iten, Eldoret kuna kambi nyingi za wanariadha zenye wanariadha toka sehemu mbalimbali duniani.
 
Wabongo wala hawana habari naye
Na sijuwi kama media zitamzungumzia
Maana akili yote sahv kwa wabongo ni wakata mauno tu

Ova
 
Mtanzania avunja rekodi kwenye mbio za Valencia Marathon

Leo tarehe 4/12/2022, mtanzania Gabriel Geay (26) aweka rekodi mpya ya taifa kwa mbio za km 42 (Marathon) huko Valencia, Spain. Geay kamaliza mbio hizo akiwa wa pili kwa muda wa masaa 2:03:00 ambayo ni muda wake binafsi bora zaidi pia ikiwa ni rekodi mpya ya taifa.

Ikumbukwe rekodi iliyovunjwa ya muda wa masaa 2:04:55 iliwekwa na Gabriel Geay pia. Kavunja rekodi yake mwenyewe. Katika umri wake wa miaka 26 tayari Gabriel anashikilia rekodi za taifa kwa mbio za 15km, 20km, 21km (Half Marathon), 25km na 30km. Tukimtoa Mzee Filbert Bayi, huyu kijana ni mtanzania mwingine anayeshikilia rekodi nyingi kwenye riadha kitaifa.

Valencia Marathon haikuwa rahisi kwasababu mshindi Kelvin Kiptum kutoka Kenya naye kaweka rekodi mpya ya Valencia Marathon (course record) kwa muda wa masaa 2:01:53 ambapo kwa hapa duniani waliomzidi ni watu wawili tu. Ambao ni Eliud Kipchoge mwenye rekodi ya dunia ya masaa 2:01:39 na Kenenisa Bekele masaa 2:01:41. Kwahiyo hata kijana wetu yuko jirani kabisa na rekodi ya dunia. Akikaza anaivunja.

Pamoja na medali ya fedha, kijana wetu atatia kibindoni zawadi ya Euro 45000 yaani kama Tsh 110,000,000/= ikiwa ni zawadi kwake. Wazazi msapoti vipaji hya watoto wenu. Kwenye vipaji kuna hela nyingi sana. Geay kapiga hiyo 110m leo lakini kumbukeni kijana ana mkataba na Adidas pia anashiriki mbio kubwa sehemu mbalimbali duniani. Isitoshe kwa kuwa kashakuwa supastaa atakuwa analipwa Appearance Fee kila akialikwa kushiriki. Yaani ana bonus nyingi tu. Inawezekana kwa kushinda hivyo leo akatengeneza hata 300m kwa leo tu.

Hapo chini ni matokeo ya mbio za Valencia Marathon.

1.Kelvin Kiptum 2:01:53 [emoji1139] CR

2.Gabriel Geay 2:03:00 [emoji1241] PB/NR

3.Alexander Mutiso 2:03:29 [emoji1139]

4.Tamirat Tola 2:03:40 [emoji1098]

5.Ozbilen Kigen 2:04:36 [emoji1250]

6.Deso Chalu 2:04:56 [emoji1098]

7.Mengesha Milkesa 2:05:29 [emoji1098]

8.Ronald Korir 2:05:37 [emoji1139]

9. Philemon Kiplimo 2:05:54 [emoji1139]

10.Goitom Kifle 2:06:29 [emoji1096]

Nimefurahishwa sana na ushindi huu. Namshukuru na kumpongeza mwenyekiti wa CCM Mama Samia kwa ushindi huu. Kwa uhamasishaji wake kijana kaenda kushinda. Nampongeza pia Gabriel Geay kwa ushindi huu. Namsihi aendelee kuishi maisha yake ya kawaida na kujiepusha na mambo ya kipuuzi kama walivyo vijana wengi maarufu. Hivi cocastic, mzabzab huyu kijana angekuwa mshenzi angetafuna bongo movie wangapi kwa mpunga anaotengeneza?
Safi sana

Haya ndy mambo tunapenda ona na

Kusikia

Ova
 
Uwekezaji uliofanyika Kenya sio poa. Wanariadha wengi ni matajri wakubwa wamatapakaa duniani hali inayofanya vijana wengi kupambana ya hela yote. Wale wanaokujaga Kili Marathon na kushinda ni ambao Kenya hawana ustaa wowote. Huko Iten, Eldoret kuna kambi nyingi za wanariadha zenye wanariadha toka sehemu mbalimbali duniani.
Nyie si mmewekeza kwa wakata mauno

Ova
 
Wabongo wala hawana habari naye
Na sijuwi kama media zitamzungumzia
Maana akili yote sahv kwa wabongo ni wakata mauno tu

Ova
Media za bongo ni tatizo. Ila nadhani tatizo kubwa ni uongozi wa riadha Tanzania. Wana fikra za kizamani na hawaendi na kasi ya dunia. Hawa kina Geay walitakiwa wawe mastaa wakubwa hapa nchini ili kuvutia vijana wadogo ila chama cha riadha kipo tu. Geay anapoenda America au Europe pale airport lazima akute waandishi wanamsubiri. Ila hapa TZ pale KIA hakuna mtu anamwelewa.
 
Huyu ni shujaa wa Taifaaaa, 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿, hongera kubwa kwake na kwa Tanzania 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
 
Mtanzania avunja rekodi kwenye mbio za Valencia Marathon

Leo tarehe 4/12/2022, mtanzania Gabriel Geay (26) aweka rekodi mpya ya taifa kwa mbio za km 42 (Marathon) huko Valencia, Spain. Geay kamaliza mbio hizo akiwa wa pili kwa muda wa masaa 2:03:00 ambayo ni muda wake binafsi bora zaidi pia ikiwa ni rekodi mpya ya taifa.

Ikumbukwe rekodi iliyovunjwa ya muda wa masaa 2:04:55 iliwekwa na Gabriel Geay pia. Kavunja rekodi yake mwenyewe. Katika umri wake wa miaka 26 tayari Gabriel anashikilia rekodi za taifa kwa mbio za 15km, 20km, 21km (Half Marathon), 25km na 30km. Tukimtoa Mzee Filbert Bayi, huyu kijana ni mtanzania mwingine anayeshikilia rekodi nyingi kwenye riadha kitaifa.

Valencia Marathon haikuwa rahisi kwasababu mshindi Kelvin Kiptum kutoka Kenya naye kaweka rekodi mpya ya Valencia Marathon (course record) kwa muda wa masaa 2:01:53 ambapo kwa hapa duniani aliyemzidi ni mtu mmoja tu. Ambaye ni Eliud Kipchoge mwenye rekodi ya dunia ya masaa 2:01:39. Kwahiyo hata kijana wetu yuko jirani kabisa na rekodi ya dunia yeye akiwa namba 3 kidunia kwa mujibu wa shirikisho la riadha la dunia. Akikaza anaivunja. Link hii hapa orodha ya wakali wa Marathon duniani World Athletics | Marathon - men - senior - outdoor - 2022

Pamoja na medali ya fedha, kijana wetu atatia kibindoni zawadi ya Euro 45000 yaani kama Tsh 110,000,000/= ikiwa ni zawadi kwake. Wazazi msapoti vipaji hya watoto wenu. Kwenye vipaji kuna hela nyingi sana. Geay kapiga hiyo 110m leo lakini kumbukeni kijana ana mkataba na Adidas pia anashiriki mbio kubwa sehemu mbalimbali duniani. Isitoshe kwa kuwa kashakuwa supastaa atakuwa analipwa Appearance Fee kila akialikwa kushiriki. Yaani ana bonus nyingi tu. Inawezekana kwa kushinda hivyo leo akatengeneza hata 300m kwa leo tu.

Hapo chini ni matokeo ya mbio za Valencia Marathon.

1.Kelvin Kiptum 2:01:53 🇰🇪 CR

2.Gabriel Geay 2:03:00 🇹🇿 PB/NR

3.Alexander Mutiso 2:03:29 🇰🇪

4.Tamirat Tola 2:03:40 🇪🇹

5.Ozbilen Kigen 2:04:36 🇹🇷

6.Deso Chalu 2:04:56 🇪🇹

7.Mengesha Milkesa 2:05:29 🇪🇹

8.Ronald Korir 2:05:37 🇰🇪

9. Philemon Kiplimo 2:05:54 🇰🇪

10.Goitom Kifle 2:06:29 🇪🇷

Nimefurahishwa sana na ushindi huu. Namshukuru na kumpongeza mwenyekiti wa CCM Mama Samia kwa ushindi huu. Kwa uhamasishaji wake kijana kaenda kushinda. Nampongeza pia Gabriel Geay kwa ushindi huu. Namsihi aendelee kuishi maisha yake ya kawaida na kujiepusha na mambo ya kipuuzi kama walivyo vijana wengi maarufu. Hivi cocastic, mzabzab huyu kijana angekuwa mshenzi angetafuna bongo movie wangapi kwa mpunga anaotengeneza?
Bado hajaitwa Bungeni kupongezwa, au mchezo Tanzania ni soka tu na ambao miaka nenda rudi tunafungwa tu na hatujawahi kupata sifa duniani kwa soka.
 
Jamaa anajitahidi ila endosements hakuna kabisaaa
 
Jamaa anajitahidi ila endosements hakuna kabisaaa
Ana endorsement ya Adidas na anavuta mpunga mrefu sana. Pia kwa level yake analipwa appearance fee.... kimsingi kijana ni star wa dunia. Endorsement za hapa nchini naona ndo hana.
 
Back
Top Bottom