Sitaki kuwafundisha kufanya maamuzi lakini mnatakiwa mtoe adhabu kali kwa wanaowatisha kua msipowachagua watawanyima Maendeleo. Wakataeni hawa na waonyeshe ni kua mmechukizwa na kauli hizi.
Mnalipa kodi na kodi zinatakiwa ziwahudumie, mpeni ujumbe mzito anayesema hawezi kuwaletea maendeleo tarehe 28.10.2020 kwanza yeye asirudi ili tuone kama hayo maneno yatajirudia. Mgombea wa Urais wa CCM amekosea sana tunatafsiri kua hizi lugha ni za kibaguzi sana.Hatupaswi hata kumpa kura yeye ni bora apite asiyejua na lugha za kibaguzi.
=====
Akiwa Tunduma, Rais Magufuli amewaomba wananachi wamchague Silinde kuwa mbunge ili awatiririshie maji. Amewaambia kwa vipindi viwili wamekuwa wakichagua upinzani na hii ndio mara mwisho kuwaomba.
Alisema, "Lakini msinichanganyie, mkiniletea hao, nasema maji hamyapati. Lazima tuambizane ukweli na mimi nazungumzaga ukweli."
Tumeccm,policcm,msajilcc wanachekelea na kumuunga mkono,ndio mana mashambulizi yote wameyaelekezea kwa Lisu,yaani makosa yote ya CCM wanayahamishia kwa Lisu,
Hatufai kabisa mbaguzi na mtishaji watu huyo
Mimi nipo tunduma yani silinde anatia huruma katika mikutano yake na watu wa Jana walifuata wasanii hasa diamond ndomana alipoimba diamond watu waliondoka kwa wingi kama bom limepigwa mkutanon ndomana mzee akapanic akaanza kufokea wananchi lakini kwa tunduma ni rahisi ngamia kupenya katka tundu LA sindano kuliko silinde kushinda ubunge labda bao LA mkono ndo litamsaidia
Sitaki kuwafundisha kufanya maamuzi lakini mnatakiwa mtoe adhabu kali kwa wanaowatisha kua msipowachagua watawanyima Maendeleo. Wakataeni hawa na waonyeshe ni kua mmechukizwa na kauli hizi.
Mnalipa kodi na kodi zinatakiwa ziwahudumie, mpeni ujumbe mzito anayesema hawezi kuwaletea maendeleo tarehe 28.10.2020 kwanza yeye asirudi ili tuone kama hayo maneno yatajirudia. Mgombea wa Urais wa CCM amekosea sana tunatafsiri kua hizi lugha ni za kibaguzi sana.Hatupaswi hata kumpa kura yeye ni bora apite asiyejua na lugha za kibaguzi.