Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Ni kweli kabisa mkuu, lakini lazima ana watu wake nyumbaniNi wazo zuri, lakini hizi nchi za wenzetu, huwezi kumshutisha mtu arudi nyumbani bila hiari yake. Sasa, ukiunganisha na maradhi ya akili ndio kabisa. Cha kwanza nadhani ni tiba halafu hayo mengine ndio yatafuata. Ni suala Tata sana lisilokuwa na majibu.
Ni wazo zuri, lakini hizi nchi za wenzetu, huwezi kumshutisha mtu arudi nyumbani bila hiari yake. Sasa, ukiunganisha na maradhi ya akili ndio kabisa. Cha kwanza nadhani ni tiba halafu hayo mengine ndio yatafuata. Ni suala Tata sana lisilokuwa na
Nivyema sana Kama hujui jambo ukawa kimya huyu dada kuna wakati anavua nguo mbele za watu Mimi mwenyewe nimempelekea nguo na chakula huko porini ili kumsitiri mbona information zangu nimetoa nichukulie hatua wewe basi narudia Tena kwa watanzania wenye akili timamu huyu dada anahitaji msaada sikukurupukaJamii forum inatakiwa iwe strict kwa hili, huwezi kuanika personal information kwenye Public forum, ni kosa hili.
Ingekua hivyo basi kungekua hakuna deportation watu wanarudishwa makwao na pingu je nihiari yao? Nchi gani hizo au za ahera 😂😂Ni wazo zuri, lakini hizi nchi za wenzetu, huwezi kumshutisha mtu arudi nyumbani bila hiari yake. Sasa, ukiunganisha na maradhi ya akili ndio kabisa. Cha kwanza nadhani ni tiba halafu hayo mengine ndio yatafuata. Ni suala Tata sana lisilokuwa na majibu.
Inshuzunisha sana lo. Mungu amfanyie wepesi arudi Bongo napo sijui atapataje ndugu zake dah!!
Kigagura... popo!Kwema kabisa, mvua tu. Lazima nirudi Mbeya mara kwa mara ku-update ndumba zangu kila nikianza kuona chenga 🤣
Kariba zanzibar mkuu kubarizKwema kabisa, mvua tu. Lazima nirudi Mbeya mara kwa mara ku-update ndumba zangu kila nikianza kuona chenga 🤣
Sasa hebu angalia, huyo dada aliyetajwa kwa hilo jina hata mimi nimeenda kumgugo na kumkuta kwenye mitando ya jamii wakati huo amesoma, na ni kweli alisomea sheria UDSM,Jamii forum inatakiwa iwe strict kwa hili, huwezi kuanika personal information kwenye Public forum, ni kosa hili.
kausha s tumempeleka huko km undercover ndio maana ubalozi wamevungaMimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma.
Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya ya Akili, sijui nini kiliendelea baada ya hapo kati lakini kilichofuata amekuwa chizi na analala barabarani, amekuwa akifanyiwa ukatili wa kingono na Wanaume mara nyingi bila kuwa na msaada.
Nilienda Ubalozini mara kadha pia kuripoti ili ikiwezekana huyu Mtanzania asaidiwe lakini kinachoonekana wao (Ubalozi) ndio wanataka nianze kufanya kazi yao.
Wanataka kufuatilie na kujua details zaidi kuhusu huyo Mtanzania na mambo mengine kama hayo, mimi siwezi kuingilia hayo masuala ya wao, wenyewe ndio wataalam, mimi nikiwapa taarifa wanatakiwa kujua nini cha kufanya baada ya hapo.
Huyu mtanzania ninamfahamu kwa jina moja tu anaitwa Jane, mitaa ya Houston ndani ya Texas.
Maisha yake ni chini ya Daraja, amekuwa hivyohivyo akiishi chini ya Daraja.
Nilivyoanza kumjua
Kuna siku nikiwa na mke wangu kwenye bustani flani akasikia tunazungumza Kiswahili, akajumuika nasi na kuanza kuzungumza na kisha kujitambulisha.
Tukazungumza naye kwa Kiswahili na akajieleza naye anatoka Ukanda wa Kaskazini kama nilivyo mimi hapo nyumbani Tanzania.
Bahati mbaya nimesahau jina lake la pili na hata sas aukisema umuulie huwezi kupata jibu hilo.
Nimeshatoa picha zake mara kadhaa sehemu tofauti ili anayemjua iwe ni ndugu zake, jamaa au marafiki wamsaidie lakini sijafanikiwa katika hilo, ndio maana nimeona nitumie JamiiForums kufikisha ujumbe huu nadhani utawafikia wahusika na wanaweza kumsaidia.
Nipo tayari kuto ushirikiano kwa ambaye anaweza kuhitaji kumsaidia huyu au kama anawez kumtambua, nimewasilisha mawasiliano yangu kwa JamiiForums kwa mtu ambaye atahitaji kuwasiliana nami.
Usikute ndugu zake huku huku Tanzania ndiyo wamemfanyia haya kwa wivu........kingine, balozi za Tanzania hazina watu wanaojitambua, wengi wao hawajuwi wanafanya nini haswa waishio huko Marekani ni kama wamepelekwa tu kushangaa miji.Mimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma.
Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya ya Akili, sijui nini kiliendelea baada ya hapo kati lakini kilichofuata amekuwa chizi na analala barabarani, amekuwa akifanyiwa ukatili wa kingono na Wanaume mara nyingi bila kuwa na msaada.
Nilienda Ubalozini mara kadha pia kuripoti ili ikiwezekana huyu Mtanzania asaidiwe lakini kinachoonekana wao (Ubalozi) ndio wanataka nianze kufanya kazi yao.
Wanataka kufuatilie na kujua details zaidi kuhusu huyo Mtanzania na mambo mengine kama hayo, mimi siwezi kuingilia hayo masuala ya wao, wenyewe ndio wataalam, mimi nikiwapa taarifa wanatakiwa kujua nini cha kufanya baada ya hapo.
Huyu mtanzania ninamfahamu kwa jina moja tu anaitwa Jane, mitaa ya Houston ndani ya Texas.
Maisha yake ni chini ya Daraja, amekuwa hivyohivyo akiishi chini ya Daraja.
Nilivyoanza kumjua
Kuna siku nikiwa na mke wangu kwenye bustani flani akasikia tunazungumza Kiswahili, akajumuika nasi na kuanza kuzungumza na kisha kujitambulisha.
Tukazungumza naye kwa Kiswahili na akajieleza naye anatoka Ukanda wa Kaskazini kama nilivyo mimi hapo nyumbani Tanzania.
Bahati mbaya nimesahau jina lake la pili na hata sas aukisema umuulie huwezi kupata jibu hilo.
Nimeshatoa picha zake mara kadhaa sehemu tofauti ili anayemjua iwe ni ndugu zake, jamaa au marafiki wamsaidie lakini sijafanikiwa katika hilo, ndio maana nimeona nitumie JamiiForums kufikisha ujumbe huu nadhani utawafikia wahusika na wanaweza kumsaidia.
Nipo tayari kuto ushirikiano kwa ambaye anaweza kuhitaji kumsaidia huyu au kama anawez kumtambua, nimewasilisha mawasiliano yangu kwa JamiiForums kwa mtu ambaye atahitaji kuwasiliana nami.
Balozi tunazo 2, ila wafanyakazi wa balozi zetu ni mambumbumbu kinoma na waliojawa na wivu kwa sababu hawalipwi mshahara mzuri, unakuta diplomat mzima analipwa mshahara wa mtu asiyesoma au kuwa na college degree. Naishauri serikali wawe wanatoa tours tu za miaka 2 miwili maana diplomats wetu wako very useless na ndiyo maana Magufuli alikuwa anawapiga vita na kuwapa challenges.hivi hatuna ubalozi marekani, wanafanya nini huko au wanakula tu kodi zetu?
huwa najiuliza, hivi ikitokea Mmarekani mmoja tu, amekuja Tanzania akapata shida yeyote, ndani ya siku hiyo hiyo utakuta ubalozi wa Marekeni umeshachukua hatua. sasa balozi zetu nje huwa zina faida gani? au wanatafuta tu wawekezaji ila raia wao sio wa muhimu sana. sawa na baba anatafuta chakula kwa ajili ya watoto ila hawajali watoto wenyewe, chakula unatafuta kwa ajili ya nini sasa kama sio kwa ajili ya Watoto/watanzania raia? hao wawekezaji wana faida gani kama raia wako unaotafuta kuwaboreshea maisha kwa kuleta wawekezaji hauwajali?Balozi tunazo 2, ila wafanyakazi wa balozi zetu ni mambumbumbu kinoma na waliojawa na wivu kwa sababu hawalipwi mshahara mzuri, unakuta diplomat mzima analipwa mshahara wa mtu asiyesoma au kuwa na college degree. Naishauri serikali wawe wanatoa tours tu za miaka 2 miwili maana diplomats wetu wako very useless na ndiyo maana Magufuli alikuwa anawapiga vita na kuwapa challenges.
Unavyoona jinsi bunge letu lilivyo useless kwa kuwa na wabunge vilaza ndivyo zilivyo balozi zetu nje......yaani madiplomat wetu wako very incompetent, wakirudi Tanzania kiingereza kingi lakini hawajuwi wajibu wao.huwa najiuliza, hivi ikitokea Mmarekani mmoja tu, amekuja Tanzania akapata shida yeyote, ndani ya siku hiyo hiyo utakuta ubalozi wa Marekeni umeshachukua hatua. sasa balozi zetu nje huwa zina faida gani? au wanatafuta tu wawekezaji ila raia wao sio wa muhimu sana. sawa na baba anatafuta chakula kwa ajili ya watoto ila hawajali watoto wenyewe, chakula unatafuta kwa ajili ya nini sasa kama sio kwa ajili ya Watoto/watanzania raia? hao wawekezaji wana faida gani kama raia wako unaotafuta kuwaboreshea maisha kwa kuleta wawekezaji hauwajali?
Ndiyo. Hii habari ilitoka miaka ya nyuma. Sijui huyu mwanzisha thread ameiokota wapi akai-post tena au labda huyo dada bado hajapata msaada hivyo amekumbushia.Mbona barua imeandikwa na Masilingi na tarehe ni 2018 huko??? Saivi yuko bi Kanza, ni nini sijaelewa hapo?
Mbona unakuwa kama huna akili? Hujaahi kuona vichaa wengi tu wanaomba fedha na wanajua matumizi yake?Kulikuwa kuna umuhimu wa kuweka hio clip anayomrekodi bila ya ridhaa yake, na mambo ya nimekuletea hela yanatoka wapi kama kweli huyo ni kichaa, kichaa ana uwezo wa kutambua matumizi ya hela ?
Hujiulizi kwanini anamfukuza na anasisitiza aondoke ?
Wapi nimesema amchukue na kumuweka kwake?
Kuna njia nyingi za kumsaidia au na yeye anaishi kimagumashi ? anaogopa kwenda social services za homeless huko Houston kama ubalozi hawana msaada mbona nimegugo na kuziona zaidi ya 30 kwa haraka haraka ?
Niambie kumuweka hapa itasaidia nini ? tena kwa kutumia anonymous ID, kama wewe ndie ndugu yake uko bongo ungeaazaje kumtafuta mtu asiye na makazi maalumu kwa taarifa iliyoletwa na mtu ambaye hawezi tena kuchangia katika hii mada?
Kama una exposure namna hiyo na unajua kuwa balozi zinatakiwa zijue watu wao, unashindwaje kuona umuhimu wa huyu member anayetafuta ndugu wa huyo msichana?Waacheni wazungu waendelee, linapokuja suala la mtu wa kwao watafanya juu chini apate msaada. Nafanya kazi ubalozi wa nchi moja ya Nordic, yaani wakisikia tu hata kuna ajali imetokea na kuna mzungu humo ninlazima wafuatlilie kujua kama kuna mwananchi wao humo.
na kama yupo, fasta anapatiwa msaada . Kiufupi, wenzetu wanajali sana.