kumeibuka tabia ya polisi hivi karibuni kuwakamata watu kwa makosa na kuwapekua na wakiwakuta na simu basi uanza kupekuwa simu zao kujifanya kuwa wanatafuta ushahidi fulani.
Je, kwa polisi kufanya hivyo hawavunji sheria mama ya nchi kwa maana ya katiba ibara ya 16 kinachohusu privacy hasa ukizingatia kuwa simu kama i-phone ina personal information kibao kama sehemu ulizotembelea kwa kuwa ina GPS, watu
unaowasiliana nao, message za jamaa na marafiki.
Ibara ya katiba inasema:
Haki ya faragha na usalama wa mtu
Sheria ya 1984 Na.15 ib.6
Naomba kuwasilisha.
Je, kwa polisi kufanya hivyo hawavunji sheria mama ya nchi kwa maana ya katiba ibara ya 16 kinachohusu privacy hasa ukizingatia kuwa simu kama i-phone ina personal information kibao kama sehemu ulizotembelea kwa kuwa ina GPS, watu
unaowasiliana nao, message za jamaa na marafiki.
Ibara ya katiba inasema:
Haki ya faragha na usalama wa mtu
Sheria ya 1984 Na.15 ib.6
Kwa mujibu wa ibara ya hapo juu cellphone inaweza ku fit kwy maelezo ya mawasiliano binafsi ingawaje sheria imekuwa ikitumika sana kuashiria zaidi kwy makazi ya mtu kuwa inahitajika search warrant lakini cellphone ina fit kwenye maelezo ya "mawasiliano binafsi" polisi anahitajika kuwa na search warrant kabla ya kupekuwa simu na kusoma kilichomo naomba mwenye hoja tofauti tuelemishane.16.-(1) Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na mawasiliano yake ya binafsi.
Naomba kuwasilisha.