Mtanzania kuchezesha AFCON

Mtanzania kuchezesha AFCON

Habari kama hii unaweka na picha yake kiongozi/wengine hatumfahamu Frank komba,unakwama wapi?
Mtanzania kuchezesha AFCON.

Mwamuzi wa Tanzania Frank Komba ameteuliwa na CAF kuwa miongoni mwa waamuzi watakao chezesha michuano ya AFCON Inayo tarajiwa kuanza mwezi January
 
afadhari, nilifiki labda miongoni mwa wale marefa wenye mahaba na mikia fc 'Sanya' au 'Kambuzi'
 
Back
Top Bottom